PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
D-knob ft ray c -ingewezekana ungekuwa wangu.Guys, hamna mwenye ako na idea na haka kajimbo jamani, 😕
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
D-knob ft ray c -ingewezekana ungekuwa wangu.Guys, hamna mwenye ako na idea na haka kajimbo jamani, 😕
Kuna jamaa anaitwa D nob nahisi ndo huy nilikuw mdg Sana those dayKuna nyimbo moja ya Ray C kaimba na mkaka simjui jina hata, siyo nyimbo ya siku nyingi sana, idea ipo kama huyo bro anamuelewa Ray C ila Ray C anamchukulia poa, kuna mahala anamuambia 'wewe ni mkangafu', na kitu kama 'pesa anayoiona kwake kubwa, kwa bidada hiyo pesa ina thamani ya cheni ya kiuno' - I don't remember the lyrics well I admit..!
Niliwahi iskia radioni, jamani nimetafuta this song mpaka nimeinua mikono, maana siijui hata jina, any idea please..!
D-knob ft ray c -ingewezekana ungekuwa wangu.
Shukrani dears, ila naamini siyo huo maana huyo mshkaji haja rap kafanya kuimba tu, na nyimbo ni ya this year kama sikosei..!!Kuna jamaa anaitwa D nob nahisi ndo huy nilikuw mdg Sana those day
ku upload hapa nashindwa, sjui hat nfanyej.Mi sio Mngoni mkuu,ila ni wa Nyanda za juu Kusini,nilikuwa nao kuna mtu aliufuta na memory card akaondoka nayo,naomba uuweke hapa...
Duhh Mkuu hii ngoma ilitoka mwaka 2000 mwanzon kabisa n moja za ngoma zilizomfanya juma nature ang'are katika soko la Bongo flevaHii nyimbo naikumbuka kaka angu alikuwa anaipenda kipindi hiko nakumbuka nilikuwa mdogo hata darasa la kwanza sijaanza
Kweli kabisa nakumbuka mm kipindi hiko nipo darasa kama la kwanza au vidudu sasa Kaka angu alikuwa anaipenda sana kwa bahati mbaya amekufa tayari basi nikiisikia hii nyimbo huwa namkumbuka yeyeDuhh Mkuu hii ngoma ilitoka mwaka 2000 mwanzon kabisa n moja za ngoma zilizomfanya juma nature ang'are katika soko la Bongo fleva
R.I.p kwa Bro nitajaribu kuitafuta alafu niitupie humu au unaweza kudownloadKweli kabisa nakumbuka mm kipindi hiko nipo darasa kama la kwanza au vidudu sasa Kaka angu alikuwa anaipenda sana kwa bahati mbaya amekufa tayari basi nikiisikia hii nyimbo huwa namkumbuka yeye
Nakumbushia hii ngoma wakulungwaHeshima zenu wakuu.....Naomba mwenye wimbo wa Kikosi cha Mizinga unaitwa Umoja ni Nguvu, anisaidie aise. Natanguliza shukrani
Nimeshaipata ahsanteR.I.p kwa Bro nitajaribu kuitafuta alafu niitupie humu au unaweza kudownload
Tumia Opera Mkuu,itakubali tu,nenda sehemu ya Attach files itakubali tu....nautafuta sanaku upload hapa nashindwa, sjui hat nfanyej.
Wadau Kuna nyimbo ya Jay z inaitwa moma love me rmx inakiitikio kama anaimba mtto hv ukiitafuta You tube haipo utapat yenyew Haina kiitikio naiomben .
Afu 255 ya quick roka na Belle 9
Nimeupata kaka shkranHio nyimbo ipo kwenye series ya money heist unaitwa Bella Chao chao lugha ni Spanish
Inaitwa:nakujaWadau Kuna wimbo mmoja wa singeli sio wa siku nyingi Ila unabamba sana na sijui kaimba nani.Anaimba;"Khadija mbona hutokei we mamie,nshachoka kuchoreshana we nambie".
N.B
Jina hadija nmeweka tu Ila sio halisi.Añaoufaham anisaidie.Unabamba sana saiv