Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna nyimbo moja ya Ray C kaimba na mkaka simjui jina hata, siyo nyimbo ya siku nyingi sana, idea ipo kama huyo bro anamuelewa Ray C ila Ray C anamchukulia poa, kuna mahala anamuambia 'wewe ni mkangafu', na kitu kama 'pesa anayoiona kwake kubwa, kwa bidada hiyo pesa ina thamani ya cheni ya kiuno' - I don't remember the lyrics well I admit..!

Niliwahi iskia radioni, jamani nimetafuta this song mpaka nimeinua mikono, maana siijui hata jina, any idea please..!
Kuna jamaa anaitwa D nob nahisi ndo huy nilikuw mdg Sana those day
 
Duhh Mkuu hii ngoma ilitoka mwaka 2000 mwanzon kabisa n moja za ngoma zilizomfanya juma nature ang'are katika soko la Bongo fleva
Kweli kabisa nakumbuka mm kipindi hiko nipo darasa kama la kwanza au vidudu sasa Kaka angu alikuwa anaipenda sana kwa bahati mbaya amekufa tayari basi nikiisikia hii nyimbo huwa namkumbuka yeye
 
Hello mambo vipi naomba unifatutie wimbo wa marehem taarb mariam khamis lindima lindima
 
Wimbo wa T.O.T band chini ya utunzi wake komba (R.I.P) unaitwa TUNAJIVUNIA kama sikosei. naupenda sana lakini nautafuta siupati
 
Wadau Kuna wimbo mmoja wa singeli sio wa siku nyingi Ila unabamba sana na sijui kaimba nani.Anaimba;"Khadija mbona hutokei we mamie,nshachoka kuchoreshana we nambie".
N.B
Jina hadija nmeweka tu Ila sio halisi.Añaoufaham anisaidie.Unabamba sana saiv
 
Wadau Kuna wimbo mmoja wa singeli sio wa siku nyingi Ila unabamba sana na sijui kaimba nani.Anaimba;"Khadija mbona hutokei we mamie,nshachoka kuchoreshana we nambie".
N.B
Jina hadija nmeweka tu Ila sio halisi.Añaoufaham anisaidie.Unabamba sana saiv
Inaitwa:nakuja
Msanii:balaa mc
Remix :balaa mc ft mariooo
 
Back
Top Bottom