Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiupata mkuu wimbo huu au jina la muimbaji itafaa sanaKuna wimbo mmoja wa dini nautafuta sanaaa sijajua ameimba nani hila ni mwanamke.
Unaimbwa hivi.
"Njooni tumwabudu Mungu baba, Mwenye sifa zote zakuitwa baba, ameinua wanyonge, ameinua yatima amewaweka huru waliofungwa" nmeusikia mda sana, anaeijua hii kwaya au muimbaji naomba tafadhari
Huu upo ulishaupata? Dah Mi natafuta wimbo wake (stara) unaitwa visa. Hata humu nilicomment ila sikupata response.
Ancle T - Actual Bukoba ni rhumba kali kila mtu analima ndizi nani atalima futari?..... Upo mkuu nitakucheki naoNatafuta wimbo wa hipo ya zamani kidogo. Maneno ya Chorus yake ni
"Nimepita kote kutafuta life, Nikaona Bora niende Bongo huenda ikawa shwari"
Naomba anaye faham hata aliyeimba anipe Jina au wimbo wote.
No 1, Ulifanikiwa kuupata?Natafuta sana nyimbo hizi
1. J Sisters- tanzania you are most beautiful
2. Flora mbasha -Mungu ibariki tanzania
Mwenye nazo anipe
Huyo wa kuitwa jagwa nenda YouTube kaandike jagwa mnanda alieimba Jack simelaNaomba anaye ufahamu wimbo wa mnanda wenye maneno haya kwenye kibwagizo"baba zulula siyo kweli bwana wee!mtoto umezaa mwenyewe usimchoke bwana ooo!Ayaa njooo,njooo,njooo".
Nauomba.
Bado mkuu sijaupataNo 1, Ulifanikiwa kuupata?
Wimbo unaitwa bongo shwari jina la msanii limenitokaNatafuta wimbo wa hipo ya zamani kidogo. Maneno ya Chorus yake ni
"Nimepita kote kutafuta life, Nikaona Bora niende Bongo huenda ikawa shwari"
Naomba anaye faham hata aliyeimba anipe Jina au wimbo wote.
Upo YouTubeNatafuta wimbo wa Grace Matata_Free soul
Plz mwenye nao aniazime
Tuma hela ya bando nimutumieWanajamvi kheri?
Nina ugonjwa wa moyo tiba yake ni wimbo wa Stara Thomas ft Chid benz unaitwa "Nini sina " producer Lamar.
Natanguliza shukrani za dhati kabisa [emoji120]
Za kisukuma.
Mzee unatisha umefanya nikeshe leo nakumbuza zamaniHahahahah. I appreciate mkuu.
Kiukweli sio DJ kiongozi wangu, ila tu nimetokea kuupenda sana muziki tangu udogoni kitu kilichopelekea kuangukia kuwa an artist broh.
Ila kiukweli napenda kuskiliza muziki wa aina yoyote ule ambao unavutia na kupenya kwa urahisi maskioni mwangu mkuu.
Thanks again & again bro.
Enjoy the vibez mzee baba.Mzee unatisha umefanya nikeshe leo nakumbuza zamani
Mkuu KIOO ni ngoma gani hiyo mbona mnatushawishiEnjoy the vibez mzee baba.