hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,616
- 1,282
Penzi kikohozi by fresh jumbe ..mwenye audio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uli upata huu wimbo?Habari wakuuu kwanza nawapenda Sana
Samahani kuna wimbo nautafuta Sana halafu Sasa nimesahau aliuimba Nani
Ila kuna sehemu wanaimba hv
"I lavyuu Maria debodeboooraa ailavyuu Maria debodeboooraa...Maria debodeboooraa Maria debodeboooraa....
.....
Mwenye anaeufahamu aniambie jamani plz
mase ft the lox and dmx -24 hrs to liveKuna ngoma flani ya kitambo sana ya wazungu wanaimba wamevaa zile nguo za pundamilia nadhani za wafungwa,ni ya hip hop,washkaji wanatoroka jela wamevaa hvo nguo,,,pia Kuna kipande mshikaji anaimba huku Yuko ndani ya maji mwenye kuikumbuka tafadhali anisaidie
Salamu nishamuachiaga GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama akiwemo Cognizant
Ndugu zangu wapenda Burudani ya muziki hasa muziki wa Bongofleva wa miaka ya nyuma (Old skool).
Kuna wimbo unaitwa "NIPE NAFASI" umeimbwa na msanii TID akiwa amemshirikisha Fid Q,huu wimbo nimejaribu kuutafuta kwenye kila Platform ya kuuzia miziki lakini sijafanikiwa kuupata,sijaelewa shida ni nini kiukweli hadi huo wimbo kukosekana kwenye Platform hizo!.
Naomba kama kuna member yeyote ambaye anao huo wimbo au anaweza kuupata popote anisaidie kunitumia hapa maana ninaupenda sana na unanikumbusha mambo mengi sana!.
Nawasilisha!
za huyu dada ngumu kupata ila ile nasonga mbele rahisi...😅Kuna ngoma za v.2 akiwa na yusuph chuchu heart beat record zanzibar nisaidieni mwenye nazo!
Kuna ngoma za v.2 akiwa na yusuph chuchu heart beat record zanzibar nisaidieni mwenye nazo!
Kuna nyimbo ya zamani naitafuta imeimbwa na mdada mmoja ndani ina mstari unaimbwa "ofisa ofisa, kila mtu anakuhitaji, katika dunia hii...." Naombeni mwenye anaijua anisaidie
View attachment 2898906 hapa utapata vitu quality tu...😀
Nimehangaika sana na majina yenyewe nimesahau ila alikuwa na nyimbo nzuri!za huyu dada ngumu kupata ila ile nasonga mbele rahisi...😅
Habari zenu humu. Ndugu zangu wa hip hop.
Msaada kidogo, mwenye video ya nako 2 nako HAWATUWEZI tafadhali naiomba.
Nimetafuta bila mafanikio. youtube waliishusha haipo tena sijui kwanini. msaada tafadhali,labda kuna mtu anayo kwa simu,pc au vyovyote vile.
Asanteni.
Haipo mkuu au unaweza nipa link?Hebu sachi tena mkuu
Huu wimbo uliupata?Mim natafuta wimbo wa kwenye tangazo la tusker lager, sijui aliimba T.I.D ukiachana na ile version ya wakenya. Unaimbwa
"Kama ni kufananisha..... kama jabari
Hatuteterekii, hatusambaratiki...
Twende pamojaaaa, bega kwa begaaaa
Marafiiiiiki halisi....."