Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vipo vingi, zawadi ni zawadi, vip unataka umpe shemeji?kama kitu gani yani😉
CHAPUTA huu uzi hautuhusu
Oh that's nice ila maoni yangu n hayonataka nimfanyie suprise akija😎
sawa, ntajaribu lakini naweza kupata experience toka kwako pia kitu gani unapenda 😊jaribu kuangalia kitu anapenda sana, labda mda mwingi hua anakiongelea, au anatamani kua nacho.... jaribu kumpeleleza wakati mnaongea utakijua tu.....
Okay msalimie na hongera yake kwa kupendwasawa, nimechukua maoni yako pia
Huwa akinipa hela siku hiyo ndio huwa anaona tabasamu langu loote 😊😊Habari za weekend wanajamvi
Niende moja kwa moja kweli mada. wakaka na wababa wa jamii forums naombeni mniambie ni zawadi gani mkipewa na wapenzi wenu hua mnafurahi sana ukiachana na magari, ni vitu gani mkipewa kama zawadi na wapenzi wenu mnaenjoy.
Natanguliza shukrani 🙏🏼
Half american Glenn Gily Analyse mshamba_hachekwi Uboboh Equation x Poor Brain DeepPond Sharamdala Mpaji Mungu Balqior mzabzab Ushimen IamBrianLeeSnr National Anthem Mzee wa kupambania