Ni zawadi gani ukipewa na mpenzi wako unafurahi sana? Naombeni mnijuze

Hapa kila mtu anataja zawadi ya mbususu, cha ajabu tukiwapa mbususu huwa mnaponda eti mwanamke hana cha kuoffer zaidi ya mbususu, mara ukitoa mbususu kwa mwanamke atakupa nini......

mzabzab hebu chagua zawadi mbali na mbususu
 
Huwa akinipa hela siku hiyo ndio huwa anaona tabasamu langu loote 😊😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…