Nichagulieni MKE kati ya hawa wawili, Nawaomba sana...

Nichagulieni MKE kati ya hawa wawili, Nawaomba sana...

Yaani mwanaume akifika stage anatamani awe muislam chaap anawaoa wote


Pia kuwa dini tofauti na wewe sio imperfection mkuu ni misimamo tofauti na Kama ungeona Kama dini ni udhaifu basi usingeanzisha nae mahusiano
Kosa kubwa wanaume mnafanya ni kuanzisha matawi mengine pembeni huku unamtu wako na ukijua fika hilo tawi laweza sababisha ukakosa mti wako

Kuhusu MPENZI A
Kwa kigezo Cha ushirikina tu hakufai kaka angu yaani mwanamke mshirikina hata ukiumwa tu chaaap kwa sangoma kwann anaumwa
Muulize DeepPond anakwambia kuhusu yule mchepuko wake



Kuhusu MPENZI B
Chondechonde usongeze single mother mtaani kwa tamaa zako kaka angu utamfanya mtoto wa watu asiishi kwa amani akifikiria kuwa nasemwa JF kuwa mm singo mother ataumia kuwa Kawa na wewe kipindi chote na umemuacha with no reasons
OA huyu please mlee mwanenu



Kwako wewe mtoa mada usiwe na presha ya ndoa this will lead you ukaingia sehemu ambayo sio kwa presha ya ndoa
 
Wew umri wa kuoa bado. Nenda hadi 50 yrs old labda utajua maana ya mke, kwa sasa hujui. Km unaweza kusema mwanamke anakupenda 💯% hiyo ni ishara kuwa humjui mwanamke na hustahili kuoa sasa hivi. Hivi hizo % umeingia moyoni mwake ukaziona au unahisi na kukisia tu. Hata mama yako/baba yako yawezekana askupende kwa% hizo kutokana na mapungufu yako, sasa iweje mtoto wa familia nyingine ambaye hujui hata ukoo wake in detail.

Halafu unaorodhesha sifa za kijinga eti sura, umbile, nk. Unasema akipita mbele ya mwanaume lazima aombwe namba, are you serious. Sawa siyo mbaya kwa muono wako sasa wewe unataka mke wa show off au mke wa moyo wako. Ndo maan nikasema umri wako wa kuoa bado subiri ukue kwanza. Yani wewe ni wa kuonea huruma sn.
In nutshell, huyo unaemsifia kwa umbo na blaa blaa kibao siyo mke, hutamaliza naye miaka 2 kabla ya kuja hapa unalia.
Asante kwa ushauri
 
Oa huyo mshirikina nyumba ichangamke bana,
mara kakuwekea limbwata unajifunga khanga unatoka na beseni la vyombo unaosha majirani tunakonyezana tunacheka eeeee!!!alooooooh!! 😂😂😂😂
Hatujatulia umetoka na nguo unaanika pichu za mkeo, na sie tunakuuliza, “Shemeji tukupe na zetu utufulie??” 🤣🤣🤣
Kidogo umeibuka nikuazime mbuzi ukakune nazi uunge samaki
Yani mambo pambe ndani hakupoi, mara mkeo kapata mimba kumbe sio yako ya mganga 🤣🤣🤣

Muoe bhana wambea tufurahie na hiyo ndoa
 
Wew umri wa kuoa bado. Nenda hadi 50 yrs old labda utajua maana ya mke, kwa sasa hujui. Km unaweza kusema mwanamke anakupenda 💯% hiyo ni ishara kuwa humjui mwanamke na hustahili kuoa sasa hivi. Hivi hizo % umeingia moyoni mwake ukaziona au unahisi na kukisia tu. Hata mama yako/baba yako yawezekana askupende kwa% hizo kutokana na mapungufu yako, sasa iweje mtoto wa familia nyingine ambaye hujui hata ukoo wake in detail.

Halafu unaorodhesha sifa za kijinga eti sura, umbile, nk. Unasema akipita mbele ya mwanaume lazima aombwe namba, are you serious. Sawa siyo mbaya kwa muono wako sasa wewe unataka mke wa show off au mke wa moyo wako. Ndo maan nikasema umri wako wa kuoa bado subiri ukue kwanza. Yani wewe ni wa kuonea huruma sn.
In nutshell, huyo unaemsifia kwa umbo na blaa blaa kibao siyo mke, hutamaliza naye miaka 2 kabla ya kuja hapa unalia.
nina sababu zaidi ya 1000 ya kusema mtu ananipenda kwa 100% sijakurupuka kama unavyohisi.
 
Muoe mama mtoto wako, huyo mshirikina achana naye kwanza
Namie Kama huyu hapa. Oa huyo wa kwanza ambaye ana mtt wako. Anakupenda mpaka akakuzalia. Kikawaiada mwanamke inabidi awe na mwanaume Strong wa kuitunza familia.ukimuacha yule wa kwanza baadaye utakuja kutuletea kisa kingine hapa. Iyo unapoumwa asije huwa Kuna kitu Ila anatuma hela sio mbaya.
 
Namie Kama huyu hapa. Oa huyo wa kwanza ambaye ana mtt wako. Anakupenda mpaka akakuzalia. Kikawaiada mwanamke inabidi awe na mwanaume Strong wa kuitunza familia.ukimuacha yule wa kwanza baadaye utakuja kutuletea kisa kingine hapa. Iyo unapoumwa asije huwa Kuna kitu Ila anatuma hela sio mbaya.
Ni kweli👏👏, amuoe mama mtoto wamuongezee na mdogo wake kabisa
 
Oa huyo mshirikina nyumba ichangamke bana,
mara kakuwekea limbwata unajifunga khanga unatoka na beseni la vyombo unaosha majirani tunakonyezana tunacheka eeeee!!!alooooooh!! 😂😂😂😂
Hatujatulia umetoka na nguo unaanika pichu za mkeo, na sie tunakuuliza, “Shemeji tukupe na zetu utufulie??” 🤣🤣🤣
Kidogo umeibuka nikuazime mbuzi ukakune nazi uunge samaki
Yani mambo pambe ndani hakupoi, mara mkeo kapata mimba kumbe sio yako ya mganga 🤣🤣🤣

Muoe bhana wambea tufurahie na hiyo ndoa
😂😂😂😂
Bro Shimba ya Buyenze njoo umuone mdogo wako huku mpenda vurugu..!!
 
Oa huyo mshirikina nyumba ichangamke bana,
mara kakuwekea limbwata unajifunga khanga unatoka na beseni la vyombo unaosha majirani tunakonyezana tunacheka eeeee!!!alooooooh!! 😂😂😂😂
Hatujatulia umetoka na nguo unaanika pichu za mkeo, na sie tunakuuliza, “Shemeji tukupe na zetu utufulie??” 🤣🤣🤣
Kidogo umeibuka nikuazime mbuzi ukakune nazi uunge samaki
Yani mambo pambe ndani hakupoi, mara mkeo kapata mimba kumbe sio yako ya mganga 🤣🤣🤣

Muoe bhana wambea tufurahie na hiyo ndoa

Jinga kabisa wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wew umri wa kuoa bado. Nenda hadi 50 yrs old labda utajua maana ya mke, kwa sasa hujui. Km unaweza kusema mwanamke anakupenda 💯% hiyo ni ishara kuwa humjui mwanamke na hustahili kuoa sasa hivi. Hivi hizo % umeingia moyoni mwake ukaziona au unahisi na kukisia tu. Hata mama yako/baba yako yawezekana askupende kwa% hizo kutokana na mapungufu yako, sasa iweje mtoto wa familia nyingine ambaye hujui hata ukoo wake in detail.

Halafu unaorodhesha sifa za kijinga eti sura, umbile, nk. Unasema akipita mbele ya mwanaume lazima aombwe namba, are you serious. Sawa siyo mbaya kwa muono wako sasa wewe unataka mke wa show off au mke wa moyo wako. Ndo maan nikasema umri wako wa kuoa bado subiri ukue kwanza. Yani wewe ni wa kuonea huruma sn.
In nutshell, huyo unaemsifia kwa umbo na blaa blaa kibao siyo mke, hutamaliza naye miaka 2 kabla ya kuja hapa unalia.
Katika sifa za mpenzi A uliona tu hiyo ya Shepu mkuu? au hukuona mazuri yake niliyo yaongelea umeona shepu ndio ilionileta hapa,kuna mahali niliandika shepu? au uzuri kwako ni shepu?

Usilazimishe kuweka fikra zako za mwanamke mzuri kwa kila mwanaume unaposhauri shauri ila usiingize mawazo na fikra zako kwa mwenzako.
 
Inaonekana wewe bado mgeni wa mapenzi na huwajui wanawake. Anyway ng9ja nikuulize huyu mshirikina anajua status uliyonayo ya kuwa ni baba?
ndio anajua ni baba na analiheshimu hilo hana tatizo na hilo.
 
Huyu mama wa mtoto huwa anakuja kukujulia hali uliko kwa maana ya kuunganisha vikojoleo au kama sio kuja ikitokea wewe umeenda mjini huwa mnaonana?
vikojoleo hapana, tunaishi kwa upendo wa agape its so long ni miaka zaidi ya mi 4 hatujaunganisha na tunakutana ila hamna mwenye interest hizo tunaongea mambo ya maana plan za maana muda unaenda tunaachana.Just Kiss off it goes
 
Back
Top Bottom