Nichagulieni MKE kati ya hawa wawili, Nawaomba sana...

Naongezea nyingine oa wa kwanza. Ila pia na wewe useme Ni wapi unapopata mzuka kamili Yani njaa inaisha kabisa na ukiwa unakula unawahi kupata hamu ya kurudia kula yaani Ile umemaliza kula unapata appetite ili urudie kula na huchukui muda Wala nguvu nyingi mdomo na ulimi kufunguka ili uingize chakula bila kikwazo yaani kiteleze kwenda tumboni.
Ila ndoa ama mke Ni zaidi ya hili yaani hii Ni second option.


Vipi Koo zao zikkoje,ndugu za hao wake zako was kike wa pande zote wapo kwenye ndoa zao. Ie mama wadogo na mashangazi.
Cheki vinasaba hata mama zao uwasome Tabia zao wanavyoishi na baba zao, check Ni mama yupi anaitikia na yupo chini ya sauti ya baba wakwe zako.
Hizi mambo huwa wanazicheki wazee ndio wanakushauri.

Nb: Future is still uncertain only God understand it how will unfold and emerge.
But we're trying to collect information that can reduce uncertainty to risk level since we cannot have totally certainty future.
Tunakusanya odds ziwe kubwa ili tubeti tuweke mzigo wa maana.


Pia usisahau kuwa " from laws of Probability inayosema kwamba " " AN EVENT CAN BE EXTREMELY LIKELY TO HAPPEN AND STILL NOT HAPPEN ALSO AN EVENT CAN BE EXTREMELY UNLIKELY NOT TO HAPPEN AND STILL HAPPEN""
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bro Shimba ya Buyenze njoo umuone mdogo wako huku mpenda vurugu..!!
Nishamuona. Na kidumu chake cha petroli mkononi ezi yujo. Huwa ananifurahisha sana kwa kweli maana nilianza kumfuatilia kitambo japo ilikuwa kimya kimya. Partial instigator (mchechemuaji wa chini chini) mbobevu 😁😁😁😁❀️
 
Jinga kabisa wewe 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣 aweke ndani chuma iko namba β€œA”
Tule burudani
 
Una mwanamke ambaye ushapata naye mtoto, unajua kabisa anakupenda na wewe unampenda, anaipenda familia yako n.k

Bado tu upo njia panda kiasi unataka kuangukia mikononi mwa kigagula??

Utakuwa usharogwa wewe
Si bure
 
Kwanza huyo mshirikina ni tiketi tosha ya kusema hapana. Hata hapo inawezekana umeshafanyia ya kutosha. Pia kama hajakufanyia chochote bado jiulize hapo wanao watarithi maagano mangapi wasiyoyajua? Madhara yake kwao ni nini na Nini? Usijiangalie wewe, watafutie wanao mama Bora, ambae hatawaingiza kwenye maagano ya kishetani. Hapo pia nafsi yako imeshachota mabalaa ya kutosha. Achana nae wakati bado una nguvu. Kuna siku utatamani utoke ila utashindwa
 
🀣🀣🀣 Kumbe ulianza kitambo kunifatilia??
 
Nimesoma hadi kwenye "ushirikina", mkuu achana na mwanamke mshirikina, a hana nae haraka, mtu mshirikina ataiangamiza damu yako, nyumba yako itaishia kuwa jehanam hapa duniani.

Mwanamke mshirikina na mswahili juu...ingakuwa mimi sina hata maneno mawili, achana nae. Huwezi kuishi na mke mchawi, ana chale, kila akiwaza jambo ni kwa mganga. Pathetic.
 
japo siamini kwenye ushirikina ila kwa vile tu umepata mtoto na huyo mwanamke B, itabidi umuoe.... mpaka mmepata mtoto nyie ni wa maisha

afu unataka kuoa mtu kisa ni ana shepu?πŸ˜‚ unafeli sana
 
Mwanamke wako mshirikina akipondwa unakuwa mkali kweli, Oa huyo ndiye unayempenda.

Huyo wa kwanza humpendi unamuonea huruma kumuacha na mtoto.
 
Mimi sina ushauri lakini nina ombi, siku ya harusi utualike wananzego wote wa JF ni hayo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oa uliyezaa nae. Wanawake wengi wanapenda ushirikina hata huyo uliyezaa nae anaweza kuja kumshirikisha Mungu vile vile. Ila kwa kuwa mna mtoto tayari muoe yeye ingawa naye anaonekana anapenda hela (materialistic wife) ..itakuwa mchaga eeh! Usije ukapigiwa pale atakapokutana na mwenye umatemate kuliko wewe, ingawa kuchapiwa ni siri za ndani.

Pia huyo mwingine usifikiri ukioa ndio atakuacha...wewe wanawake huwajui wewe! Hivyo kama naye bado unampenda unaweza kuendelea nae kama side chick ila amuheshimu mke wako.
 
🀣🀣🀣 Umemuita wa nini tena!!
Mwenzio jana katoka kunisifia, anataka kunipa invitation ya LA nikasalimie maaunt zangu
Nimemuita Bro sababu anakukubali sana, na LA lazima uende ukawasabahi kina E..!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na hiyo shughuli ya kidumu cha petroli anaiweza hatari walaqhi'..!! Me napendaga namna kachangamka mno..!!
 
Bro wasikupangie me niko pamoja na wewe,
Weka manual β€œA” hiyo ndani, miluzi mingi inapoteza mbwa.
Mwenye pesa atakusumbua utashindwa kumtawala, bora mshirikina mnashea na mganga tu, unakuwa unamjua adui yako 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…