Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Ndiyo yule mkulima wa vitunguu kule Iringa? Ht sura ya mkulima anaijua huyo
 
Kwahyo mwaknyo bado ana miaka 29 tu😂
 
Watu serikalini kila kukicha wanaiba na kutapeli billions of money hawakamatwi wala kufikishwa mahakani lakini wanyonge ukiiba hata kuku moja saa hiishi umeshafunguliwa kesi...

Mambo ya kipumbavu kweli kweli. Hii inchi ni ya wanasiasa tu na royal families na koo zao.
 
Sheria inatambua evidence si nadharia na hisia, dad amanasa kwenye mtego live, hao unaofai wanaiba wamefunguliwa kesi na vielelezo?

Just because fulani anaiba haimaanishi na ww ndio uibe, else utaishia kwenye mikono ya sheria
 
Ndio ujifunze, wanakuzunguka na kukusifia leo, ndio hao hao watakaa pembeni wakati wa matatizo

Nadhani nicole akitoka huko itakuwa ni life change experience
Moja au mawili akaendelea au akabadilika,kichwa chake ndio ubongovwake ulipo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…