Nicole joyberry apandishwa kizimbani, akosa dhamana apelekwa segerea

Wanawake wanaishi maisha ya maigizo na kujisahau Sana .

Inawezekana katapeli na yeye katapeliwa .

Ninachojua mtu akiwa na jina anaweza kupta good privilege ambazo akizitumia vzr zikamtoa kimaisha na sio ujanja.
 
Kwanini uibe Kuku ?

The weaker -is stronger and stronger is weaker
 
Hizi kesi hazinaga ushahidi,watu wa viwanja vya mkopo na biashara za online wanawapiga wabongo kila siku na ushahidi hakuna mahakamani kama hana pesa si haonge tko
 
Sisi wengine tuko nanjilinji. Sio kila wakati tunaingia hapa kujua yanayoendelea. Hujaweza kufikiria hata kidogo wapo wengi watakaofungua Uzi huu tu hawajui hawa ni akina nani? Walifanya nini?. Uandishi mzuri ilipaswa ujazie pia walifanya nini? Wapi?
Me nipo mjini lkn sijui hao slay ni akina nani na wamefanya tukio gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…