Nifanye nini ndevu zisiote kabisa au zichukue muda mrefu kuota?

Sasa si ndoni nikachimba shimo du watu wakaja niliona maajabu hadi nauli ikazidi watu wakaoga hadi basi kufika kituo tu daa tukashusha mizigo barafu miwa na mahindi hadi tuka subir gar ya tololi noma hadi leo aja sahau kamanda

nawasilisha
 
Duh ayse itabidi uwe na saloon binafsi nyumbani kwako ili uepuke cost za kwenda saloon kila siku[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua mkojo wa Kuku mweupe wa kienyeji aliyefiwa na babu yake. Changanya na nusu Mate ya kinyonga mweusi asiyekuwa na matege. Ujipake nayo kwa siku X 3. Utaona mabadiliko.
 
Michango ya WADAU ndio iliyonileta hapa
 
magari mengine nitapanda ila hapa sipandi, huu uongo kabisa...danganya kwa style ingine sio hii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Achana na kunyoa to wax maeneo ambayo hutaki kuwe na ndevu then kwenye kidevu unaweza kustyle Kisha uwe unapunguza kidogo kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…