Nifanye nini niongezeke uzito?

Nifanye nini niongezeke uzito?

Kwanza tafuta dawa za minyoo kula mpaka uhakikishe imeisha yote. Tafuta vitamin b complex tumia dozi. Tafuta vitamin c tumia dozi.
Alafu ingia sokoni tafuta mbegu z maboga kilo karanga kilo 2 maziwa na asali.
Mbegu za maboga na karanga zikaange zikaangike alafu zisage pamoja upate unga huo unga chemsha maziwa kikombe kimoja weka na vijiko 3 vya karanga na maboga kwa pamoja na asali kafiri utakavyo hii itakusaidia lakini muda mwingine wote wa kula kandamiza misosi ya kwenda na matunda ule muda wa kati ndio unapiga kikombe chako cha mchanganyiko huo utaona mabadiliko ndani ya muda si mrefu
Asi sahau kuvuta bangi kwa ajili ya kuongeza hamu ya kula.
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience

Kula sana usiku
 
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.

Nawaza kutumia protein powder ila sina uhakika nayo sana kama inafanya kazi.Naombeni ushauli kwa alie na experience
achana na hiyo habari ndugu usije jutia mbeleni. Uzito ulionao ni mzuri sana
 
Back
Top Bottom