Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Kunywa maji mengi huongeza hamu ya kula..
Usifanye kazi ngumu...
Kula vyakula vya protein na fat mfano: Samaki, nyama, etc..
Epuka msongo wa mawazo kwa kufanya vitu kukufurahisha.....
Usifanye kazi ngumu...
Kula vyakula vya protein na fat mfano: Samaki, nyama, etc..
Epuka msongo wa mawazo kwa kufanya vitu kukufurahisha.....