Nifanyeje ili niache kununua malaya?

Nimesoma mara 3 ulichoandika sijaelewa km ule wimbo wa iyanya one side
Nilitaka kusema kwamba, hata akioa,kama ameshapakaa ubongo wake wa kununua malaya,hata akioa haachi.
Na pia,yawezekana hata akioa,mwanamke asitulie.
Kwa hiyo,watu watatu hao ndo wanaoishi maisha halali yao,wengine ni maigizo tu.
 
nilikua kama wewe nikakinai nikaacha. una umri gani?
 
  • Kiimani wanasema ni pepo
  • Kiuchumi wanasema kwa sababu una hela ya kuwalipa
  • Kiubinadamu wanasema una nguvu za kiume na hisia kali
  • Kiuwanaume wanasema ni kawaida kutamani pisi kali kwa mwanaume rijali

Sasa wewe unataka nini?
je uyo ki mutu apo umewekaje? napata isia wewe ni mutundu wq haya mambo utakwua gugo pare kama injinia
 
PUNGUZA POMBE
 
1. Acha kununua malaya
2. Acha kununua malaya
 
Pepo mchafu huyo, unahitaji kujikomboa mwenyewe kwa kumuomba Mungu bila kukoma... Jisafishe na damu ya Yesu vinginevyo utakuja kujutaa mbeleni
 
Ukiona kitu haupendi alafu unafanya ,rahisi tu ,utambue afya yako ya akili haipo sawa, ni bora utafute wataalamu wa hayo mambo watakusaidia kitaalamu zaidi.
Naunga mkono hoja, Ila kipenzi wengine unakuta ni pepo la ngono limemvaa yaan yeye ni wa kununua Malaya mpka yatakapomkuta makubwa ndo inakuwa basi tena
 
Pole sana mkuu
 
Jus nilipi g a Malaya mmbovu had asbh nimemtukana kwa msg na matus mazito

Sijui nilimuonaje yule manzi ile mm nais siku hyo nilikula pepo au jini lao duh


Mwanmke mpumbavu Sana yule nimeamkaaa nikaoga maji ndooo mbili kubwa saaa kumi usk

Nilijuta Hadi leo Sina hamu na demu wa bar
 
Chai hii msenge wewe
 
Yaani nyie wapumbavu sana, wanaume hatuoi ili tumalize nyege. Huyo ajifunze sexual huges control kwanza ndo awaze kuoa.
 
Yaani nyie wapumbavu sana, wanaume hatuoi ili tumalize nyege. Huyo ajifunze sexual huges control kwanza ndo awaze kuoa.
relax kwanza na upunguze mihemko, kisha ndio utoe ushauri huo mujarabu sana bila kingereza mingi 🐒
 
Atafute tu kazi za kumchosha au aanze gym after work, huo upuuzi unaisha.
kumbe ndio maana jamaa wa gym wanadharaulika kwamba na wao kazi hawana huko chini, na kwamba na jamaa akianza gym huko chini panatulia na ndio nae anakua na six packs lakini huko chini network ndio bas tena, dah 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…