Nifanyeje mke wangu aache kula kitimoto?

Hii ni ile tunaita dua la kuku!
 
Ushaona wapiiii
Ni uongooo huoooo
Uongo huooo
Mdudu anaesavaivu amechemshwa kwny joto ta c'100 na akapitishwa ktk mafuta na kukaushwa ni mdudu yup??
Yale majiko hayana joto la nyuzi 100 na kwa taarifa yako yule mdudu hufa kwenye nyuzi joto 140 yaan hadi kwenye 100 bado anasurvive tu, bado una swali jingine?
 
Yale majiko hayana joto la nyuzi 100 na kwa taarifa yako yule mdudu hufa kwenye nyuzi joto 140 yaan hadi kwenye 100 bado anasurvive tu, bado una swali jingine?
Anasavaivu vipi? Kitu kichemshwe kwa masaa kadhaaa kitolewe kipitishwe kwny mafuta...
Acha bana...hata wataalamu wa afya wanasisitiza kipikwe na kiive vzr baasii...by the way gududu wa kufugwa home sio sawa na gududu pori
 
As long as hakiathiri utamu, muache tu ale
 
Kwani anapata tatizo gani ,kwenye kula nyama ya nguruwe?

Na wewe unapomla denda unapata tatizo gani?

Huyo si mkeo, kama anapenda na hakuna madhara ,ungana naye tena mwambie anunue mbichi aje akorofishe HOME.

1- hutaacha
2- upendo utazidi
3- afya ya ngozi na mwili itaboreka.
4- ukarimu utaongezeeka nyumbani
5- majini ,mashetani yatakimbia nyumbani kwako.
6- lugha ya ishara itaongezeka kwa mkeo ukiulizia ipo au
 
Na wewe mgugude tigo
 
Hujui kwamba tunanyonyana denda? Huoni ananilisha na mimi bila ridhaa yangu?
Kama mnavyopenda kusema kula nguruwe ni dhambi na imeandikwa ebu tuletee hapa andiko ktk Biblia linaloruhusu kunyonyana midomo kati ya mwanamke na mwanaume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…