Nifanyeje sina hisia nae kabisa

Mpo mkoa gani?
 
Basi wanawake wote aliodate nao walikuwa hawajiwezi kitandani kiasi cha mimi kumkuta amelegea kiasi kile? Tatizo lingeanza ndoani sawa lakin kuanzia mwanzo, Yale mapenzi motomoto ya wapenzi wapya yangemfanya basi asimamishe au awe na nguvu za kueleweka
 
Imagine ndo tupo honeymoon jamaa anachati na michepuko
Dah! Inaumiza Sana,
Sema nikutoe wasiwasi dada angu,
Si mumeo anachepuka ukaconclude hakupendi

Mumeo anakupenda sana ndo maana kawaacha Mchepuko na kukuoa wewe.

You are wife material and good wife kuliko hao anaolala nao, that's why Anafanya Maendeleo na wewe kwny familia.

Pia kwa miaka yote umemvumilia pamoja na kumfishia madhaifu yake kwa Muda wote huo.

Jamaa anatambua thaman yako that's why hathubutu kukuacha Wala kuwekeza Nje.

Hapa tafuta ushaur wa kuijenga ndoa yako na sio kuibomoa, bado naaamini mumeo bado Ni mme Bora kwako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii wala haipo kwenye mpango wangu, sitachepuka kwa hali yoyote ile mimi haya boyfriend tu sijawahi kumsaliti itakuwaje mume?
 
Tupo baadhi ya wanaume tunafanya maisha ya kifamilia kuwa magumu na ya wasiwasi sana!

Unaonekana ni mwanamke mwenye ufahamu mkubwa ktk wachache unfortunately mumeo hajitambui umedondokea kwenye mikono mibaya.
 
Asante sana deep
 

Kama ni hivyo inawezena kweli halali nao ,kwa maelezo yako kwamba hata wewe ulivyoanza naye alikuwa mashine haisimami means hata kwa hao wapya mwendo ni ule ule.

Na pia umesema kamba mnaweza kukaa miezi miwili bila ku-do nahisi huko nje inawezekana labda anajaribu kutest kama mashine inaweza kuamka sana kwa mademu tofauti.

Aisee kwa huyo usiwe na wasiwasi ,nadhani hiyo situation imemuathiri kisaikolojia ndiyo maana anajribu kutest huko nje kama "Mandonga" atainuka.

Endelea kumpeti peti hivyo hivyo ,halafu usisibiri mpaka mwezi upite ,jaribu kufanya naye kila week ,i hope hiyo shida itaisha.
 
Hili suala ntaliongea kwa upande wangu,
ili upate picha kamili nn namaanisha.

Kama umenifatilia, Nmeoa na na Mchepuko nje anaitwa mamaJ.

Kabla sijakutana nae nilikua nafanya kawaida TU Kama wengine, ila baada ya kuanza kuchepuka nae, nowdays naweza kufanya nae for hours bila ttzo lolote. Na imekua normal.

Ila nikiwa kwa wife au mwanamke mwingine, ile Nguvu inakosa kwasababu Hawa wengine hawawez au hawajui Cha kunifanyia ili niweze kulast for hours bila kuchoka.

Wengine huwa nawaambia wanapuuza,
Wengine ujeuri TU hawataki kunifanyia,
Wengine maumbile yao hayaruhusu kunifanyia vile, nawapotezea maana siwez kukosoa uumbaji wa MUNGU.

Tukija kwa wife,
Utaratibu Ni ule ule niloelezea hapo juu,
japo sio vizur sn kumlinganisha wife na Mchepuko (niwie radhi),ila moyoni najua kabisa wife wangu mamaG kazidiwa ufundi kitandani na Mchepuko wangu mamaJ.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
My mom once told
Usivumilie usaliti
 
Hakuwa na nguvu na akakuapproach mpaka ukawa demu wake, ila huamini anaposema anachukua brand nyingine kwa ajili ya kuziangalia mipododo tu na kushika shika!!! Inakuwaje unakuwa mbishi hivyo kuamini wakati una mfano halisi kabisa wa wewe mwenyewe?
 
Yaan mm sitahangaika kumtaftia madawa maana mimi cyo muumini wa madawa hayo
 
Asante sana deep
Kwa maelezo yako,
Ungekua wanawake Hawa wa nje vichwa maji,Sidhan kama ungemvumilia mumeo.

Nna Mchepuko wangu mmoja mamaJ,
Tukigombana MDA mrefu nyege zikimpanda anaanza kuwatafta maex wake.

Nikiangalia kwa jicho la pemben naona kabisa hafai kua wife material.

That's why,
Namlala yeye kila siku,
Ila maswala ya Maendeleo naenda kufanya na wife.
Na siwez kumuacha wife kwa Hali yoyote ile japo kitandani siwez kukuficha kwa mamaJ bado sana.

MamaJ Ni fundi kitandani,
Ila ufundi wa ngono hakikjawahi kua kigezo Cha mwanaume kumuoa mwanamke.

Ingekua hivyo,
Makahaba wengi wangeshaolewa
Maana wale ndo fani Yao kuwaburudisha wanaume.

NAKUPONGEZA SANA MTOA MADA,
JAPO JAMAA ANA MADHAIFU YAKE,
ILA KAPATA MKE BORA KABISA MAISHAN MWAKE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahii kabisa,
Asisubiri miez ipite,
Awe mtundu kuamsha hisia,

Ntatoa ushuhuda binafs,
Wife nakutana nae Mara Moja kwa wiki au wiki mbili, ila kwa mchepuko mamaJ hazipiti siku mbili hatujafanya.

Sometimes nakua nmechoka sihitaji,
Ila yule mwanamke Ni mhuni Sana, atanichokoza Sana liwalo na liwe Hadi nifanye.

Tena Huwa anajisemea mapema kabisa...
"Leo wee mwanaume nakubaka, utajua hujui, siwez kulala na nyege mimi..."[emoji1787] Huku anacheka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…