Biashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.
Me nilikua tu na wazo la biashara, sikua hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.
Wachaaa wee basi sawaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajua my baby cute wife huwa lazima awe nyuma yako kila unapopita, ndio hapo na mimi nachip in
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na akijua na yeye namteta atanitwanga talaka hapa hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanawazaa pesaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni aibu kubwa mno, sijui huwa wanawaza nini wenzetu
Nlikuwa nakuona sana samaki samaki kiongoziMi nilianza na mtaji wa Million 7 sahivi nimekimbia mji biashara imekufa na ninadaiwa laki 6
😀😀😀Nlikuwa nakuona sana samaki samaki kiongozi
Sitaki tutofautiane. Ila najua unapenda sana haya mambo yakiendelea kuongezekaWanawazaa pesaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza lini udaku🙄🙄🙄?Wajasiria miili wasitudanganye, ndio maana anamganda Kiba.
😥😥😥😥Mnamuonea,Kiba ni Mzee kuliko Niffer,..Hata hivyo anamalizia kuizika ndoa ya Alikiba bila aibu
Niffer ni Muhaya,shombo lazima😅Mbona matajiri huwa hawana maneno ya shombo hivi
Wabongo hawapendi kuona mafanikio ya mtu,kila mwanamke anahongwa tatizo ni kuendeleza hicho ulichohongwa,,,mbona Kina shangazi wamehongwa miaka yote hawana chochote?Binafsi namuona mbali kamaunavyomuona,apewe tu hongera zake........wadada humu wamekazana kahongwa kahongwa ndio kuhongwa Nako watu wanaangalia akili awekeze wapi,au nadanganya ndugu yanguKuhongwa lazima, mzuri pia ana akili na njaa ya mafanikio, namuona mbali sana yule binti ila kama kawekeza Moyo wake kwa King Kiba ajiandae kwa tukio takatifu hadi atachukua likizo ya miezi sita.
🤦🤦🤦🤦🤦Umetisha.Mimi ninampongeza sana Niffer kwa kutumia vizuri mapato yatokanayo na K yake. Karibu wanawake wote wajasiriamali wanahongwa. Kama una dada/mama/shangazi yako mfanyabiashara jua lazima wadau watie baraka zao. Mwanamke hata kama katoka familia tajiri lazima atake hela za mwanaume. Tatizo wengi wao hutumia pesa zao vibaya. Jitu halina chochote ila likihongwa linakimbilia kununua iPhone 14. Kinachomponza Niffer ni huo uhaya wake wa kupenda sifa. Binafsi nikipata nafasi lazima nijiunge na kikundi cha wanaume waliopo nyuma ya mafanikio ya Niffer.
Kwani mabinti wengine hawabebwi?waige mfano wa Niffer,sio wakibebwa wanakimbilia I phone na kunywa Hennessy 😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada nimechekaaa mnooo.
Sasa yeye Niffer aache kudanganya sasa, atafanya mabinti wa umri wake wajione sio kitu, kumbe yeye anabebwaaa.
Mna uhakika jamani?ukiambiwa umtaje huyo kigogo wa nssf utamtaja?acheni roho za uchungu tafuteni pesa jamani😂😂
Dah! Inauma sana, unakuta wazee wamejaa kwenye maofisi ya nssf wanazungushwa miaka na miaka na hela ya pensheni hawapewi. Ila niffer na tako lake kubwa anafaidi pensheni za wazee wa watu, tena anahongwa mtu mzito nssf 😂😂. Ndio maana samia anaona atuuze tu 😂