ms emmaa
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 119
- 207
Biashara ukiwa na juhudi lazima ufanikiwe, wanaolalamika biashara ngumu hao wazembe.
Me nilikua tu na wazo la biashara, sikua hata na mia lakini nikaweka juhudi hatimaye namiliki biashara kadhaa za mamilioni hapa mjini.
Nipo nasoma comment za wadau [emoji23][emoji23][emoji23]watu Kumbe wana biashara hewa na mmefanikiwa na hamtuambii