Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Makobazi Kwa kujifariji
 
Mpinga Kristi anapinga nini!?..Kama waislam ndiyo mpinga kristo mbona Imani yao haipingi kristo!!...wanaamini kazaliwa kwa uwezo wa mungu na mwanamke bikira,alikua alifanya maajabu,alikua akitawadha kabla ya kuswali Kama waislam,akisujudu Kama waislam
kupinga kristo maana yake sio kukataa hayupo,ni kukataa hakufa wala kufufuka.

kwa mkristo hii ni kufuru kubwa.
 
Hili mbona liko wazi,,uislamu utashika dola.
Ndoto zenu za mchana mnachekeshaga sana mbona hamuongei huko uarabuni watu wanahamadini??na ulaya haitawezekana mpango huo coz waislam wanakabwa ulaya hata kusali tu maeeneo mengi ulaya hawaruhusu kujenga msikiti sasa kivp unamaanisha??!!
 
Wazunu wengi wana mtoto 1 tu, waislamu ni watoto 4 hadi 6, na hapo bado wengine wanaendelea kwenda ulaya, mfano hapo majuzi wale wa Afghanistan maaelfu wapo uingereza na ujerumani kwa sasa, ni mwendo wa kuzaliana tu na kuwachorea ramani ndugu zao
Hao wahamiaji wanarudishwa makwao kila leo harafu ulaya uzazi huo unaangaliwa na kingine misikiti hairuhusiwi kujengwa , mnajipa matumaini huku hamjatembea kuona ulaya ilivyo 😂😂🤣🤣
 
Vyama vya siasa vinatafta mtaji wa kura za uhakika kupitia uislamu, hivyo vyama vinalinda sana waislamu na hata wakija kwa njia za panya wanapewa uraia....

Mfano kwa sasa jiji la london, Mayor wake ni muislamu na anapendwa sana na waislamu wengi, huu ni mwanzo tu, kuni zinachochewa moto.
Unajipa moyo sana wewe😀😀😀😀tafuta historia ya uingereza uisome kisheria ni nchi ya kikristo madhehebu ya angrikana na makanisa hayo yanaamua mpaka urais wa nchi we unaongea nini badala ujadili uarabuni huko unakazana na uingereza🤣🤣😂😂 utachekwa wewe
 
Ni mkakati kabisa kabisa wa islamic religion kuiteka ulaya na marekani kwa studies zao wanasema mpaka 2050 the whole of europe na america about 90% itakuwa islam njia wanazotumia ni
Migration
Kuzaliana sana ili kuongeza idadi
Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini
Fikra zako za ukiazi wewe hivi unafikiri hao wakristo watakubali tu kubadili dini??!!ndio maana marekan ila lengo la kurudisha kuongozwa kidin kikristo kama zamani mpaka sasa muislam haruhusiwi kujenga msikiti marekani mpaka ulaya yote tembea uone wewe, unasubiri uletewe tu habari🤣🤣😂😂 mnajipa moyo nyie😁😁😁
 
Ndo ujue wakristo walivyo na uungwana,ingekuwa nchi za kiislam Kuna wakristo wangethubutu kuzamia na kuzaliana au kupewa vyeo?
 
Ndoto zenu za mchana mnachekeshaga sana mbona hamuongei huko uarabuni watu wanahamadini??na ulaya haitawezekana mpango huo coz waislam wanakabwa ulaya hata kusali tu maeeneo mengi ulaya hawaruhusu kujenga msikiti sasa kivp unamaanisha??!!

Ujerumani wanageuza makanisa kuwa misikiti, na ndio taifa la ulaya linaloongoza kwa kusilimu, ufaransa n.k
 
Kwani tatizo liko wapi hapo? Au wewe ndio una matatizo? Wewe unaakili kuliko hao wazungu? Acha ujinga
 
kupinga kristo maana yake sio kukataa hayupo,ni kukataa hakufa wala kufufuka.

kwa mkristo hii ni kufuru kubwa.
Kwa hiyo kristo maana yake ni kufa na kufufuka!!?..mi nadhani mpinga kristo ni myahudi,kwanza anaamini yesu ni mtoto wa zinaa,pili haamini chochote Cha yesu,tatu ndiye mmiliki wa sehemu kubwa ya teknolojia duniani
 
Waislamu sijui mna shida gani wallahi sasa wakijaa ndo nini?? mmejaa ubaguzi wa hali ya juu mnataka wote wawe waislamu ili iweje?? wapuuzi wenzenu wa talebani wanachokifanya makobazi wakishika dolla ya dunia bora ufee mna mambo meusi ajabu dunia haitakua huru wala sehemu salama.
 
Kwa hiyo kristo maana yake ni kufa na kufufuka!!?..mi nadhani mpinga kristo ni myahudi,kwanza anaamini yesu ni mtoto wa zinaa,pili haamini chochote Cha yesu,tatu ndiye mmiliki wa sehemu kubwa ya teknolojia duniani
kuamini kristo sio unachagua cha kuamini,mission ya Yesu duniani ndio inabeba umuhimj wake,ilikuwa kuja kufa na kufufuka,sasa ukikataa kilichomleta anakuwa kama manabii wengine tu wa mchongo waliokuja nyuma yake.

myahudi ni kama mtu mwingine tu anao uhuru wa kuaminj au kutoamini,tofauti ya myahudi na mwislam ni moja.
myahudi hamkubali Yesu huyu,anaamini yuko mwingine anakuja kwa kazi ile.
mwislam anamkubali Huyu ndiye ila hakufa wala kufufuka.

kuna mpinga kristo hapo na kuna asiyeamini kristo.
 
Back
Top Bottom