Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Wayahudi hawamsubiri yesu,wanamsubiri masihi ambaye sifa zake ni tofauti kabisa na yesu..anayesaiwa masihi na wakiristo wayahudi wanasema hakutimiza prophecies za kimasihi...issa wa waislam akizaliwa na mwanamke bikira,jina lake Maryam,alikua muisrael,alisakamwa asulubiwe,alifanya maajabu..Kama yesu wa wakiristo ni tofauti na huyo hakuna tabu,endelea kumuomba akupeleke ufalme wa milele
sasa nikimuomba wewe unachelewa kuwahi mabikra 72 au???

kimsingi Yesu ni Mungu wa wakristo,kama kuna mtu anaitwa Issa mkamnasibisha na Yesu ni kukosa adabu.
 
sasa nikimuomba wewe unachelewa kuwahi mabikra 72 au???

kimsingi Yesu ni Mungu wa wakristo,kama kuna mtu anaitwa Issa mkamnasibisha na Yesu ni kukosa adabu.
Kila mtu anajua kwamba yesu aliyekatwa govi na kusulubiwa ni binadamu ni mungu wa wakristo
 
Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, si ajabu hata kuna mitaa ambayo ni ya waislamu tu (wakristo hawaruhusiwi)

waislamu hujazana kwa hizi mbinu

- Kuomba kuishi ulaya, wengi hupewa ruhusa ya visa kwasababu nchini kwao kuna vita na maisha duni, wakifika ulaya wanaita familia zao.

-Sheria dhaifu kwa wazamiaji - nchi kama za uingereza, ufaransa, n.k hata ukizamia kiharamu sio kesi sana, kuna vyama vya siasa kibao vinalinda wahamiaji haramu na mashirika mengi yanatotoa misaada kwa maharamia.

- Kuzaliana sana ili kuongeza idadi, waislam huwa na watoto 4 hadi 6 ila wakristo wengi hasa wazungu huzaa mtoto moja tu, wengine hawana habari kabisa na ndoa wengine mashoga, n.k

- Kuoa mabinti wa kikristo na kuwabadili dini

- kushawishi wakristo kubadili dini wawe waislamu, hili linafanikiwa mno, imefikia kipindi makanisa yanabomolewa na kugeuzwa misikiti

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "compunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu,

Namba zinaongea, kwa sasa miji majiji kama London yana waislam kibao na Mayor wa London ni muislamu anaepewa sapoti kubwa na waislamu, kadri ulaya itavyozidi kuwa na waislamu wengi basi viongozi wengi watakuwa waislamu na ulaya itakuwa ya kiislamu.
Ni sawa tu kwani kuna tatizo? Cha msingi wapige kazi tu, uchumi uinuke.
 
Kwani ulaya kukiwa na waislamu wengi Ndio Nini?
 
uislamu ukiimeza ulaya sasa inakusaidia nini wewe mtoa mada ,hebu muwe mna posti nyuzi zinazohusu mambo ya maana......
 
Mkuu naomba tusaidiane tufanye kampeni kuishawishi serikali ili hii sensa ijayo tuweke kipengele cha dini ili tupate majibu ya uhakika?
Ya nini tuandikie mate na wino upo?
Na kwanini wakristo wote wanapinga hili la khesabiwa kwa dini

Waislamu ni wengi, kama sio 70% basi 75%
 
Allah haihitaji hio ujinga wa kuvaa mwili,ateswe,afufuke..halafu kiwe nini!?
kiwe nini vipi??kwani wakati Allah anamshushia maandishi mtume asiyejua kuandika na kusoma alikwepa ghalama ya ada ama ilikuwaje???wenye elimu hawakuwepo au!!!

usimkadirie Mungu kindezi ndezi kama unachagua mke wa nne maalim.
 
kiwe nini vipi??kwani wakati Allah anamshushia maandishi mtume asiyejua kuandika na kusoma alikwepa ghalama ya ada ama ilikuwaje???wenye elimu hawakuwepo au!!!

usimkadirie Mungu kindezi ndezi kama unachagua mke wa nne maalim.

Hoja zenu ni MFU
 
Ndio maana walianzisha vita ya biafra pale Nigeria ilu kuzuia uislamu usienee,
Na bado ukaenea,
Nakumbuka majeshi yalitoka inchi nyingi za afrika, hata sie tulipeleka,
Kweli haya ni mapambano,
Kuna upande unapigania haki na upande unapigania batili, tuombe mungu tuwe upande wa haki
Nakupa ushahidi ww unajikomba kwenye uislamu lakini haukuhusu, wenye Deen yao ni warabu!
[emoji116][emoji116]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Niwekee ushahidi ww mndenge uislamu unakuhusu![emoji101][emoji101]


WAARABU ni Waislamu wa kweli na kizazi cha kweli cha Mtume Muhammad (SAW).

“Wasio—Waarabu ambao bila aibu, walijiita Waislamu ni Waongofu wa wazi tu ambao ni waoga wa hali ya chini na nafsi zisizo na heshima Waliozidiwa kwa urahisi na Upanga wa Mwenyezi Mungu, hivyo walistahili kuitwa Mbwa wetu.”View attachment 2232809
 
Nakupa ushahidi ww unajikomba kwenye uislamu lakini haukuhusu, wenye Deen yao ni warabu!
[emoji116][emoji116]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ

[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.

وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ

[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Niwekee ushahidi ww mndenge uislamu unakuhusu![emoji101][emoji101]


WAARABU ni Waislamu wa kweli na kizazi cha kweli cha Mtume Muhammad (SAW).

“Wasio—Waarabu ambao bila aibu, walijiita Waislamu ni Waongofu wa wazi tu ambao ni waoga wa hali ya chini na nafsi zisizo na heshima Waliozidiwa kwa urahisi na Upanga wa Mwenyezi Mungu, hivyo walistahili kuitwa Mbwa wetu.”View attachment 2232809
Akili ndogo ni akili ndogo tu,
Kwa hiyo quran ingekuja kwa kimakonde waislamu wangekuwa ni wamakonde tu?
Hivi ni lazima lugha moja itumike lakini iwakilishe wote,
ALLAH mtukufu amesema :
انا خلقناكم من ذكر وانثى وجعلناكم شعوبا وقبائل لتعارفوا ان اكرمكم عند الله اتقاكم
Yaani
Tumewaumba waume na wake, na tukawajaalia mataifa na makabila mbali mbali ili mujuane tu, hakika aliye bora mbele ya ALLAH ni yule mwenye kumcha
So lugaha ni njia tu ya kuelewana na kujuwana
Kuhusu kuonya watu wa karibu kuna sababu nnuzul ya aya so katafute utajijibu bila shaka
Halafu kule kwa wazungu kimetumika kipare?
Au nako pia huamini?
Uko wapi ili twende sawa
 
kiwe nini vipi??kwani wakati Allah anamshushia maandishi mtume asiyejua kuandika na kusoma alikwepa ghalama ya ada ama ilikuwaje???wenye elimu hawakuwepo au!!!

usimkadirie Mungu kindezi ndezi kama unachagua mke wa nne maalim.
Alipoamua kumtia mimba bikira,azae kwa shida..wasiokuwa bikira hawakuwepo!?
 
Akili ndogo ni akili ndogo tu,
Kwa hiyo quran ingekuja kwa kimakonde waislamu wangekuwa ni wamakonde tu?
Hivi ni lazima lugha moja itumike lakini iwakilishe wote,
ALLAH mtukufu amesema :
انا خلقناكم من ذكر وانثى وجعلناكم شعوبا وقبائل لتعارفوا ان اكرمكم عند الله اتقاكم
Yaani
Tumewaumba waume na wake, na tukawajaalia mataifa na makabila mbali mbali ili mujuane tu, hakika aliye bora mbele ya ALLAH ni yule mwenye kumcha
So lugaha ni njia tu ya kuelewana na kujuwana
Kuhusu kuonya watu wa karibu kuna sababu nnuzul ya aya so katafute utajijibu bila shaka
Halafu kule kwa wazungu kimetumika kipare?
Au nako pia huamini?
Uko wapi ili twende sawa
Nimeamini ashki majunun[emoji849][emoji2957]
Hiyo aya uliyoweka ndio ushahidi wa ww mndenge nawe umo kwenye uislamu??[emoji33][emoji33]
Hapo Muhammad aka baba Fatuma anawapa daawa Jamaa zake ww mndenge yanakuhusu??
Pokea huko na majibu dhaifu!
View attachment 2233160
 
Nimeamini ashki majunun[emoji849][emoji2957]
Hiyo aya uliyoweka ndio ushahidi wa ww mndenge nawe umo kwenye uislamu??[emoji33][emoji33]
Hapo Muhammad aka baba Fatuma anawapa daawa Jamaa zake ww mndenge yanakuhusu??
Pokea huko na majibu dhaifu!
Kwa kuwa huna elimu huwezi kuielewa,
Ngoja nikupe nyingine,
ALLAH Mtukufu anasema
وما ارسلناك الا رحمه للعالمين
Yaani
Hatukukupeleka ewe muhammad illa uwe ni rehma kwa viumbe wote,
Sasa hapo niambie kuwa viumbe ni waarabu peke yao?
 
Allah haihitaji hio ujinga wa kuvaa mwili,ateswe,afufuke..halafu kiwe nini!?
Kwa allah Sawa umepatia manake hana uwezo!
Lakini kwa Mungu wetu Atakalo Huwa na Hana MC!
Yeye Imempendeza Kihivyo!
Na Amewahi Kusema!
[emoji116][emoji116]
Isaya 55
8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.

9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

10 Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
 
Kwa allah Sawa umepatia manake hana uwezo!
Lakini kwa Mungu wetu Atakalo Huwa na Hana MC!
Yeye Imempendeza Kihivyo!
Na Amewahi Kusema!
[emoji116][emoji116]
Isaya 55
8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.

9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

10 Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
Matayo15:24 'akajibu akasema sikutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel'...anayetumwa ni mtumwa/mtume...na ukumbuke ni kwa ajili ya kondoo waliopotea wa Israel,hakuna muisrael anaitwa mgeni....NB:katumwa,aliyemtuma Nani!?
 
Kwa kuwa huna elimu huwezi kuielewa,
Ngoja nikupe nyingine,
ALLAH Mtukufu anasema
وما ارسلناك الا رحمه للعالمين
Yaani
Hatukukupeleka ewe muhammad illa uwe ni rehma kwa viumbe wote,
Sasa hapo niambie kuwa viumbe ni waarabu peke yao?
mbona unapiga tik tak huku umevaa msuli??
Weka ushahidi, ALLAH anampa mafunuo hayo baba Fatuma!
Unatuwekea mashairi hata hujui chanzo chake[emoji849][emoji12]
View attachment 2234585
 
Back
Top Bottom