Nilitamani nikusaidie ila nilipoona kuwa miaka miwili iliyopita ulidai unatafuta mchumba
Nina miaka 29, natafuta Mume
wakati ni mwalimu wa shule ya Private. Na ulikuwa na watoto wawili. Nikasita na kukubaliana na
Intelligent businessman kuwa kuna uwezekano mtu akapigwa na kitu kizito.
Lakini mwaka 2020, miaka minne toka sasa, ulikuwa na umri wa miaka hiyo hiyo 27 na ulikuwa unatafuta kazi.
Habari za mda huu, Wakuu Mimi ni muhanga wa ajira nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu 2017 ngazi ya shahada ya elimu najikita kwenu naombeni mwenye kazi yoyote anisaidie maisha magumu Sana na nitafanya kazi popote mda wote sichagui kazi, mimi ni binti miaka 27. Asanteni, mwenye kazi yoyote...
Huaminiki