Nilitamani nikusaidie ila nilipoona kuwa miaka miwili iliyopita ulidai unatafuta mchumba Nina miaka 29, natafuta Mume
wakati ni mwalimu wa shule ya Private. Na ulikuwa na watoto wawili. Nikasita na kukubaliana na Intelligent businessman kuwa kuna uwezekano mtu akapigwa na kitu kizito.
Lakini mwaka 2020, miaka minne toka sasa, ulikuwa na umri wa miaka hiyo hiyo 27 na ulikuwa unatafuta kazi.
Habari za mda huu, Wakuu Mimi ni muhanga wa ajira nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu 2017 ngazi ya shahada ya elimu najikita kwenu naombeni mwenye kazi yoyote anisaidie maisha magumu Sana na nitafanya kazi popote mda wote sichagui kazi, mimi ni binti miaka 27. Asanteni, mwenye kazi yoyote...
Yani kabla ya mwisho wa mwezi nakuwa na mipango mingi sana tena ya maana mnoo. ila ukifika tu huo mwisho wa mwezi hela inavyopukutika sasa, hata sielewi. Mitungi jamani mitungi jamani mitungiiiiiiiiiiiii aaaaagh. Nakukuta tu balance niliyobaku nayo inatia huruma hapo ndo akili zinarudi hela...
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi.ichagui kazi sichagui mshahara. Naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada...
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
No wazo zuri ata nawaza ila Na mtt mdogo anamiak 2 nikuenda kazn inabdi nibebe ndomana nilitaka biashar niwalipie ata ada mm nihangaike najua wao wapo shule mpk mda wakurudi nyumbani ninawapitia
Wapo watakubalian na wew uende tuu na mtoto , ila uaminfu na kujiongeza ndio kutakufany udumu, , tena unawez fany kaz nyumba mbili bila shda ni ratb zao
Pole sana kwa unayopitia ila nina swali kwako je unapoachiwa hiyo elfu 5 huwa unamshukuru mumeo au ndo ukiona hiyo hela ni maneno tu?? Nini kilipelekea mkakorofishana mpaka ukaenda kwenu??
Wanaume wanapitia changamoto nyingi ila wengi hawana pa kupatia faraja ndo maana wanaangukia kwenye ulevi. Mwanamke ukipewa hata 2000 kwanza onyesha shukrani na moyo wa kuridhika then unaongea nae kwa upole namna hiyo hela inakupa changamoto kubalance budget.
Mwanaume anapotoka kwenye mihangaiko yake hata kama amerudi amelewa jambo la kwanza isiwe kumkaripia kwa ulevi wake bali mpe pole kwa mishemishe zake na onyesha kumjali hata kama kalewa
DEAR WOMEN: wanaume udhaifu wao mkubwa uko kwenye utii na heshima. Ukimtii na kumheshimu mwanaume haijalishi ana hali gani utakula mema ya nchi unless huyo mwanaume hana akili vizuri
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi.ichagui kazi sichagui mshahara. Naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada...
Ipo ivi mm ni mama ninamiaka 29 sasa ..naombeni busara zenu kuishi vipi na uyu mwanaume ..tumezaa watoto wawil apa kati tuliachana lakini nyumbani awakuelewa na hawataki kusikia ilibdi niludi kulea watoto shida ni . tunaishi mimi na baba watoto na wifi yangu pamoja na watoto wawil wadog ambao awajafika miaka 5 pamoja na mtoto wake niliemkuta wakidato cha kwanza..ivyo familia ya watu sita lakin mwanaume anakuachia sh elf 5 tu siku nzima na hapo Amna kitu chochtote ndani na watoto ni wadogo ambao inabdi asubui upike chochte wapate kula uku tukisubir mchana na Sio mwanaume anauwezo hapana uwezo upo wakawaida na ela kidogo anapata shida ni ulevi namarafiki akipata ela atawaita marafiki zake watakaa watakunywa uku nyumbani inafika mda mtt mdogo anamiak 4 anatakiwa kuanza nasary lakini baba kumlipia mtoto elf 15 aende shule awez anasema ana hela akija akakuta nyumbn nmepika ugal na mlenda yeye ali anaenda kula vibandani tu ..kinachoniuma roho ni uyu motto miaka 4 anaingiza mitano ata kuanza shule yupo tu nyumbani jamani wanajamii naombeni uniambie niishi vip walau niweze kubana matumizi walau nipate mtaji tu niwe naingiza ata elf 1000 niweze kumpelek mtoto shule nimnunuliege na vitu vyake nisiwe mtu wa kugombana nae kila siku maana ata ukiongea sana yeye akujib n yule mtu anaekaa kimya tu utaona vitendo nawaza kuondok lakin apana bdo sijajipanga na watoto hawa na nyumbani awataki swala la kuondoka ata kidogo ..ivyo tu nahitaji ushaur niishi nae vip ili walau iyo anayotoa iwe inabaki nijiwekee akiba ata 500 kwa siku nipate mtaji najua kupika vitafuno mbalimbal ..unakuta unajibana lakin inashindikan unaishia kupata na madeni madukani nmechoka san nahitaji tu faraja walau roho yangu utulie moyo mzito sana wanajami nifanye walau nilipe Ada ya mtoto aende shule mimi nipambane mwenyew ...nb sim niliyonayo sio yakuuzika labda kama skrepa..Kwaiyo naombeni tu faraja yenu niishi vip walau nibane matumizi .. Ile kupata changu binafsi ata kidogo lakn kinikidhi maitaji yangu na watoto wangu ..moyo unaniuma sana nahitaji faraja yenu tu labda moyo utatulia na mtanipa njia nzuri yakuweka akiba sitatoka kama nilivyo kupitia izi huu ..samahani kama nmekosea
Peleka kesi kwa wazazi wake au kwa aliyekufungisha ndoa. Andaa ushahidi wa kutosha. Biblia inasema mtu asiyejali watu wa nyumbani mwake ni mbayq kuliko asiyeamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.