kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Fanya kilimo Cha viazi utanikumbuka Ila kiwe Cha nyakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa KabisaTengeneza maisha , achana na kusoma...
✌️TargetFanya kilimo Cha viazi utanikumbuka Ila kiwe Cha nyakati
Asante, siendi kuchukua master's nilitaka nisome degree nyingine alafu nisubiri kufanyiwa re-categorization business ndio naiwaza zaidi mkuu.Kama umepata business inayoeleweka chukya pesa fanya biashara na pia kama unaweza kuifanya bila kuacha kazi itakuwa nzuri zaidi.
Usikope ili ujenge nyumba tafadhali.
Pia kama hiyo masters unaenda kusoma ukiwa na connection kuwa ukimaliza utapata chaka la maana sawa ila sio kuisoma ndio uanze kutafuta mchongo. Siku hizi bila connection kutoboa ni ngumu.
Chukua loan, fanya biashara huku ukiendelea na kazi. Kama utafanikiwa katika biashara na kazi unayo utafurahia maisha.
Kwani ukifanikiwa kusoma mshahara wako utafikia 20million?Wakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.
Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,
Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?
Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.
Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Hivi uko serious kweli? Unamwambia jamaa akapoteze miaka mitano tena.Kwa PCB yako kama utarudi shule nakushauri kasome kozi za afya.
Hasa hasa Udaktari.
Umuhimu wa daktari haujawai na hautawai kuisha duniani
Akiona hawezi yeye anipe milio 5 kila baada ya miezi mitatu nitampa milioni 2 ndani ya mwaka mmoja baada ya hapo tusijuane✌️Target
nakazia nakazia nakazia, dogo kama yupo njema kichwani achukue ushauri wako, kuna mwana alisoma bachelor of education(biology and chemistry), akafanya kazi mwaka tu akaona hamna anachokifanya, akarudi akasoma madicine, kwa sasa yupo botswana anakula dolari za maana. mwingine aliamua kwenda jeshini kwa sasa yupo njema tu.Kwa PCB yako kama utarudi shule nakushauri kasome kozi za afya.
Hasa hasa Udaktari.
Umuhimu wa daktari haujawai na hautawai kuisha duniani
Kujenga hapana ni kujitafutia umasikini zaidi.Maisha hayarudi nyuma. Achana na mawazo ya kusoma. Songa mbele. Kopa ujenge nyumba ya kuishi.
Nenda kasomeWakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.
Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,
Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?
Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.
Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Viazi mviringo ,Irish potato ,mfano Mimi nitapanda wa 5 ibofwe kilolo ,ili vipishane kutoka na ludewa hivyo nitatoa watisa mwishoni. Na nitapanda mwezi 10 ,vitatoka wapiliMkuu viazi vitamu au hivi wanaviita viazi ulaya
Kaka ,aende akasomee mkopo ,kweli au afanye mambo muhimu kwanza ili akasome akiwa na uhakika popote anapokuwepoNenda kasome