Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Mpuuzi wewe,yaan pesa ya mkopo ukasomee chuo,hzo akili au matope!!
Pesa ya mkopo ni Kwa ajili ya kuzalisha ,kusudi umudu kulipa na riba yake!!jitafute katika biashara unayoweza then fanya.
Kusomea pesa ya mkopo ndio mnakuja kulialia benki zinatoza riba kubwa,mara taasisi za mikopo ni kausha damu,sijui Samia tulipie marejesho nk kumbe ni wewe tu na akili zako za ajabu..
Hzo degree ni makaratasi tuu,nenda kafanye biashara na wekeza kwenye mamb yanayoonekana!!!
Pesa ya mkopo ni Kwa ajili ya kuzalisha ,kusudi umudu kulipa na riba yake!!jitafute katika biashara unayoweza then fanya.
Kusomea pesa ya mkopo ndio mnakuja kulialia benki zinatoza riba kubwa,mara taasisi za mikopo ni kausha damu,sijui Samia tulipie marejesho nk kumbe ni wewe tu na akili zako za ajabu..
Hzo degree ni makaratasi tuu,nenda kafanye biashara na wekeza kwenye mamb yanayoonekana!!!