Nikasome degree nyingine au nifungue biashara?

Nikasome degree nyingine au nifungue biashara?

Baada ya kuchukua mawazo ya wengine Kaachini tuliza ubongo, tafakari, maamuzi yako yana maana sana,,,yafanyie kazi baada ya hapo n mwendo wa kuteleza
 
Hahaha, mkuu Mimi nimeichukua Kwa Mzee wangu, miaka yote mzee wangu anafanya biashara Mama ndio anakaa dukani mzee yeye ni kusafiri na kusepervise, lakini tokea tunasoma ukimuomba mama Hela alikua hawezi kutoa bila ridhaha ya baba, Sasa najiuliza sijui baba aliweza wapi? Mimi simpi mwanamke Hela afungue biashara then Mimi no relax, Kwa sababu ndoto yangu ni biashara nitafungua biashara ya ndoto yangu then yeye akae ndani kama msimamizi, sitajitenga na biashara natoka saa 7 school naenda kwenye biashara yangu ,mke akiniibia Mimi itakua afadhali kuliko kumuajiri kijana. Mimi maono yangu ndio hayo mkuu.
Kama vipi hamia town miji yenye vyuo,, uwe unapga masomo ya jion,,
 
Wakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.

Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,

Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?

Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.

Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Sikushauri uingie kwenye biashara kwa sasa .Jiendeleze kati ya maeneo yafuatayo kama una lengo la kuwa recategorized.Uandishi wa habari,Uhasibu au Mipango.

Article.
 
Kwenye ualimu muda tunao, pia nataka nioe mwanamke ambae anao uwezo wa kusimamia biashara,
Usije ukaoa mwanamke kwa leongo lolote la maendeleo utapotea oa kwa lengo la kuongeaa familia (kuzaa) hayo unayoyafikilia kichwani kwa wenzetu huwa hayapo ni wachache sana wenye mitazamo hiyo.
Chukua hii baadae utanikumbuka.
 
Kama una uhakika wa biashara unayotaka kufanya ni sawa, na uhakikishe umeshaisoma hiyo biashara na usianze na expectations za faida kubwa kwa siku, wiki au mwezi.....biashara inahitaji kukua taratibu kama ndo unaanza. Ila biashara ya kuanza kwa mkopo sasa😔😔....
Kusoma sasa! Kama unaipenda ajira nenda kwenye course za afya
Chukua huu ushauri
 
Wakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.

Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,

Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?

Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.

Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Elimu ni hazina
Elimu haijawahi mtupa mtu ni suala la muda tu

Usijichanganye sana, nenda kasome
 
Kama tayari una academic degree; ninakushauri uangalie upande mwingine. Elewa mimi ni mwalimu wa chuo kikuu wa muda mrefu sana, kwa hiyo nina attitude nzuri sana kuhusu elimu. Tatizo kubwa ni kwamba academic degrees nyingi siku hizi hazina ajira, kwa hiyo kama bado unataka kusoma basi usomee professional degree kama vile Engineering, Law, na Medicine ambazo unaweza kuzibadilisha mara moja kuwa biashara.

Elimu yako ya sasa ya Bachelors degree tayari imeshakupanua upeo kiasi kuwa unaweza kufanya utafiti wa jambo gani la kufanya kwa kutumia hizo pesa na zikazaa sana. Tanzania sasa hivi kuna opportunities nyingi sana ila hazina wakuzichimba. Acha biashara ya kununua bidhaa na kuziuza, bali tafuta biashara ya kuongeza value kwenye mali. Kuna value nyingine ni ndogo sana lakini zina return kubwa sana
Mkuu naomba niku PM
 
Wakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.

Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,

Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?

Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.

Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Tupe mrejesho mkuu umeamua kudeal na inshu gani?

Kisomo

Business
 
Omba hazina wakukopeshe milioni 30 nusu yake nunua Toyota Vanguard used (itakuwa Uber) nusu yake invest kwenye kilimo cha ngano
 
Nenda kasome wewe.utafanyiwa rekate...hutajuta nakwambia.ila biashara utakosa mtu wa kusimamia
 
Back
Top Bottom