kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Miaka mi5 + 1 ?Kwa PCB yako kama utarudi shule nakushauri kasome kozi za afya.
Hasa hasa Udaktari.
Umuhimu wa daktari haujawai na hautawai kuisha duniani
Simshauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka mi5 + 1 ?Kwa PCB yako kama utarudi shule nakushauri kasome kozi za afya.
Hasa hasa Udaktari.
Umuhimu wa daktari haujawai na hautawai kuisha duniani
Maisha hayarudi nyuma. Achana na mawazo ya kusoma. Songa mbele. Kopa ujenge nyumba ya kuishi.
Sahihi kabisa la iwe nyumba ya biashara!Nimemuelewa, hakuna nyumba ya million 20, then kujenga nyumba ya kuishi no kuzika pesa.
Nje ya biashara ya kula Kodi zingine ni pata poteaAtakopa mara mbili aendelee kuwa mtumwa wa madeni?? Kumbuka hyo mikopo Ina riba zake...
Ajitafute katika biashara,atakuja kunishukuru.
Kama vipi hamia town miji yenye vyuo,, uwe unapga masomo ya jion,,Hahaha, mkuu Mimi nimeichukua Kwa Mzee wangu, miaka yote mzee wangu anafanya biashara Mama ndio anakaa dukani mzee yeye ni kusafiri na kusepervise, lakini tokea tunasoma ukimuomba mama Hela alikua hawezi kutoa bila ridhaha ya baba, Sasa najiuliza sijui baba aliweza wapi? Mimi simpi mwanamke Hela afungue biashara then Mimi no relax, Kwa sababu ndoto yangu ni biashara nitafungua biashara ya ndoto yangu then yeye akae ndani kama msimamizi, sitajitenga na biashara natoka saa 7 school naenda kwenye biashara yangu ,mke akiniibia Mimi itakua afadhali kuliko kumuajiri kijana. Mimi maono yangu ndio hayo mkuu.
Sikushauri uingie kwenye biashara kwa sasa .Jiendeleze kati ya maeneo yafuatayo kama una lengo la kuwa recategorized.Uandishi wa habari,Uhasibu au Mipango.Wakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.
Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,
Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?
Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.
Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Akasome wakati ni sasa...akasome akimaliza ataendelea Na Mishe zakeKaka ,aende akasomee mkopo ,kweli au afanye mambo muhimu kwanza ili akasome akiwa na uhakika popote anapokuwepo
Usije ukaoa mwanamke kwa leongo lolote la maendeleo utapotea oa kwa lengo la kuongeaa familia (kuzaa) hayo unayoyafikilia kichwani kwa wenzetu huwa hayapo ni wachache sana wenye mitazamo hiyo.Kwenye ualimu muda tunao, pia nataka nioe mwanamke ambae anao uwezo wa kusimamia biashara,
Chukua huu ushauriKama una uhakika wa biashara unayotaka kufanya ni sawa, na uhakikishe umeshaisoma hiyo biashara na usianze na expectations za faida kubwa kwa siku, wiki au mwezi.....biashara inahitaji kukua taratibu kama ndo unaanza. Ila biashara ya kuanza kwa mkopo sasa😔😔....
Kusoma sasa! Kama unaipenda ajira nenda kwenye course za afya
Elimu ni hazinaWakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.
Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,
Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?
Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.
Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.
Mkuu naomba niku PMKama tayari una academic degree; ninakushauri uangalie upande mwingine. Elewa mimi ni mwalimu wa chuo kikuu wa muda mrefu sana, kwa hiyo nina attitude nzuri sana kuhusu elimu. Tatizo kubwa ni kwamba academic degrees nyingi siku hizi hazina ajira, kwa hiyo kama bado unataka kusoma basi usomee professional degree kama vile Engineering, Law, na Medicine ambazo unaweza kuzibadilisha mara moja kuwa biashara.
Elimu yako ya sasa ya Bachelors degree tayari imeshakupanua upeo kiasi kuwa unaweza kufanya utafiti wa jambo gani la kufanya kwa kutumia hizo pesa na zikazaa sana. Tanzania sasa hivi kuna opportunities nyingi sana ila hazina wakuzichimba. Acha biashara ya kununua bidhaa na kuziuza, bali tafuta biashara ya kuongeza value kwenye mali. Kuna value nyingine ni ndogo sana lakini zina return kubwa sana
Tupe mrejesho mkuu umeamua kudeal na inshu gani?Wakuu ushauri wenu ni muhimu Kwa kijana wenu hapa, Mimi ni Mwalimu wa physics na chemistry nipo nkasi-rukwa, form six nilipata division two PCB point 11, nipo kwenye kufundisha Mwaka wa pili Sasa, naona ni wakati wa kuwaza nje ya box.
Kwenye Ili Chaka nimekuta watu wapo zaidi ya miaka 10 lakini vilio ni vingi sana, nadhani nisipofanya maamuzi sasahivi nitaenda kua kama wao tu, hakuna kitakachoharibika,
Nina-acces ya kukopa million 15/20 NMB/HAZINA. Japo za hazina kuzipata ni ngumu mno, nawaza vitu viwili nikasome au nitafute biashara nifanye?
Course ambayo nimeplan kwenda kusoma ni bachelor degree in business statistics and economics nadhani kwamba nikimaliza hii naweza fukuzia na kufanyiwa re-categorization.
Vipi wakuu niendelee kushika chaki huku nikifungua biashara? Au niende kusoma TU?.