Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

Nikienda Sokoni namuungisha mfanyabiashara Mwanaume na kumuacha mfanyabiashara Mwanamke Kwa sababu zifuatazo:

Umenikumbusha Jana nimeenda Florence kuangalia chumba ili siku Chache zijazo (weekend) nikapumzishe akili aisee nilimkuta dada anaetoa huduma ni anajisikia sio poa hadi nguvu ziliisha anyway nitaenda maana nimependa mahali ila customer care ilikuwa negative zero
Baada ya hapo nikapita kumalija kupata soup ya kongoro Hawa wakasafisha akili yangu kwanza nilikuta ni wadada warembo na wasafi wakanipokea kwa bashasha na kunipa huduma huku nikifatilia game ya Yanga
Binafsi nakubaliana na mtizamo wako ila tuwaunge nao mkono hasa wale wenye kauli na huduma nzuri
 
Ukweli kabisa kabisa, Mwanamke akiwa Boss shughuli unayo na awe hajakunwa vizuri home kwake au amekosana na mume wake, au Hawara wake, ofisi nzima mtamkoma
 
Matokeo ni kitu unachoweza kukitabiri kwa sababu huna uwezo wa kujua kesho ni nini kitatokea. Kibaya cha utabiri huwa kinaangalia uhusiano wa jambo moja na jingine mfano mwanamke akipata pesa na kuzaliwa kwa kiburi lakini haimaanishi kila mwanamke anaepata pesa ana kiburi...
Mkûu kuhusu Swala la Mwanamke kupata Pesa na kubadilika ni Jambo ambalo limetokea Kwa Wanawake wengi Sana sio Tanzania tuu Bali Duniani.

Kiasili Wanawake wameumbwa na kiburi na dharau hasa wakiwa na Ûzuri na uwezo. Wanawake wasio na kiburi Wala dharau ni wachache Mno na hao NI exceptional na katika hao exceptional kûna àmbao kiburi chao wamekificha Kwa sababu tuu hawavutii, hawananguvu na Hawana Pesa.

Unapoambiwa mwanamke lazima aringe ndîo tafsiri halisi ya jeuri na kiburi

Lakini pia unapoongelea group flani lenye tabia fulani lazma uhakikishe unaijua deeply kuliko kutoa conclusion kuhusu specific group "wanawake wafanyabiashara wa masokoni" Kwa kutumia general characteristic "wanawake" Kupitia mtazamo binafsi ambao bila utafiti mathubuti hukosa uhalali wa kuongelea kimantiki na hata kufanya utabiri ambao pasipo data, hubakia kuwa ni mtazamo usio na mashiko.

Kûna mambo hayahitaji utafiti Mkuu.
Wanawake kwèñye suala la biashara unapozungumzia Kutoa huduma Bora Wanawake wengi hawawezi kutoboa mbele ya Mwanaume.

Hata hospital Wanawake wajawazito Asilimia tisini na tisa hutaka kuhudumiwa na Madaktari Wanaume. Hivyo ni Jambo la Kawaida Kabisa
Mfano tukisema bodaboda wanavunja ndoa za watu na hurubuni wanafunzi na housegirls kingono.. Je tuanze kutafuta boda za kike kwa sababu hawafanyi hivyo
😃😃
Mimi sijui kama bodaboda wanashutumiwa kuharibu Ndoa za Watu.
Tukienda hata ustawi au Mahakamani wanaotuhumiwa kutia Mimba au kubaka wengi waô siô bodaboda.

Sema Kwa vile labda kûna interaction kûbwa Baina ya bodaboda na watu(hasa Wanawake )Hali àmbayo inapelekea Watu kudhani wanatoka kingono sana na wanawake kuliko makundi mengine.


Je, vipi kuhusu madaktari wa kiume wanaotembea na wake za watu au wauza chips ambao wanafanya mabaya kuliko hata madereva boda. Je tuamue kuwagomea na kula kwa wanawake ambao hawana hiyo negative impact ?...
Mkûu kwèñye suala la mapenzi au ngono makundi yôte yanafanya vizuri.
Ila unachoeleza ni Kasumba Mbaya iliyopo kwèñye jamii kuwa ukifanya Kazi inayokukutanisha na Wanawake Basi unawala mademu wengi Kuliko makundi mengine Jambo ambalo halina uhalisia.

Naelewa unachokifanya "brotherhood" Je, hiyo brotherhood una uhakika hiyo pesa unayowapa inaleta positive impact kama unavyosema

Umechangia vizuri Sana.

Kama utachunguza hoja zangu utagundua kuwa Nilichoeleza kinaeleza uhûsiano wa Mwanamke kupata Pesa na mchango wake katika familia na Jamii.

Sijasema Mwanamke Hana mchango Nop!
Nimeeleza Mwanamke Pesa yake ni yake(wakiwemo Watoto lakini mtoe Mume)
Lakini Pesa ya Mwanaume ni ya jamii nzima.

Ndîo maana kûna mamilioni ya single mothers Duniani wanatunzwa na kusomeshewa Watoto waô na Wanaume.

NI nadra kukuta mwanamke Duniani anamtunza mume na Watoto WA kambo.
Duniani siô ajabu wasifike Wanawake Mia Moja Wanaofanya hivyo.

Au zîpo familia nyingi za Wanawake zinazotunzwa na Wanaume Kisa Binti Yao aliolewa.

Lakini ni nadra kukuta mwanamke akijenga Ukweni na Kûhudumia familia ya Mwanaume.
 
Taikon uko sahihi mtoa huduma akiwa mwanaume huduma inakua Bora sana, hata migahawani napenda Kula sehemu ambapo wapishi ni wanaume , maana nature ya wanawake ni uchafu ndio maana wanajitahidi kujifanyia decoration nyingi
 
Tukubaliane mkuu, pesa ya mwanamke huwa inatumika kwa vitu muhim pekee na kwa watu anaowapenda ndio maana watu wengi hupenda watoto wa kike kwa sababu ni ngumu kusahau kwao. Mwanamke akipata pesa za kikoba atakumbuka kitu ambacho watoto wake hawana na pia nyumbani kwao kimekosekana nini, sio yeye atavaa nini au ampe mchepuko pesa. Ndio maana mama akienda kwenye sherehe anaweza kurudi na vitu kwa sababu hana ubinafsi wa starehe binafsi

Ndîo maana nikasema Pesa ya mwanamke siô Pesa ya jamii.
Lakini Pesa ya Mwanaume ni Pesa ya jamii na Taífa Kwa ujumla.

Mwanamke hayupo kwaajili ya jamii. Mwanamke yupo kwaajili ya Familia(hasa Watoto wake full stop).
Mwanaume yupo kwaajili ya jamii nzima.
Mwanamke ni nadra kula vyuku huku watoto wake hajui watakula nini, na hata akicheat, usishangae akaomba afungiwe chips nyama za wanae. Hivyo ndivyo mwanamke alivyo, watu anaowapenda huja kwanza. Huu sio ubinafsi ukiniuliza

Mwanaume atatunza Watoto na bado ataenda Bar kuwapa riziki Watu Wengine akijua wanatafuta Maisha.

Mwanaume anaweza akatunza Watoto wa Mkewe àmbao siô wake Kwa kuwaona ni wake lakini mwanamke Hilo usahau kabisa
Ukirudi kwa wanaume bro tuseme Tu ukweli. Baba wa familia anaweza kula bear, vyuku, supu na akawanunulia bar maids bia huku watoto wake wanakula maharage nyumbani.

Yeah Wanaume wa hivyo wàpo. Ukifuatilia utagundua kûna sababu ya ndàni Kabisa àmbayo inapelekea Mwanaume kuwa hivyo. Sababu hiyo ni mwanaume kukosa utulivu Kutoka Kwa Mkewe.


Huyo mtu unaempa pesa sokoni si ajabu akaenda kula vyombo na kujistarehesha na michepuko. Lakini familia hata pesa ya tution haina

Hiyo michepuko inafamilia na itasaidia familia zào.
Mwanamke anaweza kuwa Bora kwèñye kuhudumia familia yake alafu kumbe Watoto kambambikiwa hivyo Hana tofauti na Yule anayehonga michepuko
Na ni maisha ya kawaida kabisa ndio maana nasema thread yako yaweza kuwa sawa lakini pia ikawa wrong kwa kiasi kikubwa

Mkûu chukua Simu Sasa hivi wapigie Tanesco waambie luku yako haingizi umeme.
Akipokea Mwanaume sikiliza atasemaje
Alafu piga tenà Mpaka apokee mwanamke Kisha msikilize uone atasemaje

Piga DStv au Azam au voda au Tigo hivyohivyo ufanye utafiti utagundua huo utofauti Mkubwa uliopo.

Mbona nilichoandika Watu wengi wanakielewa wakiwemo Wanawake wènyewe.
 
Umenikumbusha Jana nimeenda Florence kuangalia chumba ili siku Chache zijazo (weekend) nikapumzishe akili aisee nilimkuta dada anaetoa huduma ni anajisikia sio poa hadi nguvu ziliisha anyway nitaenda maana nimependa mahali ila customer care ilikuwa negative zero
Baada ya hapo nikapita kumalija kupata soup ya kongoro Hawa wakasafisha akili yangu kwanza nilikuta ni wadada warembo na wasafi wakanipokea kwa bashasha na kunipa huduma huku nikifatilia game ya Yanga
Binafsi nakubaliana na mtizamo wako ila tuwaunge nao mkono hasa wale wenye kauli na huduma nzuri

Yeah weñye kauli nzuri kikawaida hata nyumbani wengi waô huwa vizuri.
 
Kama huu uzi ungekuwa mtihani unge score 100% marks. Sasa huu msimamo wako ueneze hadi kwenye siasa, usimpigie kura mgombea mwanamke! kumpa mwanamke mamlaka ya kufanya maamuzi ni kumpa zana ya kutekeleza yote hayo unayoyapinga. Tumwombee Trump ashinde lasivyo Dunia itavalishwa skirt na demoncraps. Hata Bongoland ni hivyo hivyo viuno vikubwa ila skirt zinapwaya. Wanawake wanakosea sana wanapoacha feminine nature na kufosi masculine nature, wanafeli kote.
 
Kwahiyo wanawake wanabidi wasiwe na uchumi imara .?

Wasiwe na uchumi imara kuwashinda Wanaume

Hasa Mwanamke asipoishi na Mwanaume anayempenda yàani Mwanaume wa Ndoto Yake.
Àmbapo Asilimia kûbwa wengi waô huishi na Mwanaume mbadala baàda ya Yule aliyekuwa anampenda kuliko kumkacha.
 
Ndîo maana nikasema Pesa ya mwanamke siô Pesa ya jamii.
Lakini Pesa ya Mwanaume ni Pesa ya jamii na Taífa Kwa ujumla.

Mwanamke hayupo kwaajili ya jamii. Mwanamke yupo kwaajili ya Familia(hasa Watoto wake full stop).
Mwanaume yupo kwaajili ya jamii nzima.


Mwanaume atatunza Watoto na bado ataenda Bar kuwapa riziki Watu Wengine akijua wanatafuta Maisha.

Mwanaume anaweza akatunza Watoto wa Mkewe àmbao siô wake Kwa kuwaona ni wake lakini mwanamke Hilo usahau kabisa


Yeah Wanaume wa hivyo wàpo. Ukifuatilia utagundua kûna sababu ya ndàni Kabisa àmbayo inapelekea Mwanaume kuwa hivyo. Sababu hiyo ni mwanaume kukosa utulivu Kutoka Kwa Mkewe.




Hiyo michepuko inafamilia na itasaidia familia zào.
Mwanamke anaweza kuwa Bora kwèñye kuhudumia familia yake alafu kumbe Watoto kambambikiwa hivyo Hana tofauti na Yule anayehonga michepuko


Mkûu chukua Simu Sasa hivi wapigie Tanesco waambie luku yako haingizi umeme.
Akipokea Mwanaume sikiliza atasemaje
Alafu piga tenà Mpaka apokee mwanamke Kisha msikilize uone atasemaje

Piga DStv au Azam au voda au Tigo hivyohivyo ufanye utafiti utagundua huo utofauti Mkubwa uliopo.

Mbona nilichoandika Watu wengi wanakielewa wakiwemo Wanawake wènyewe.

Wanaume wengi hawaanzi kwenda bar kwa sababu ya wake. zao. Ni utamaduni wa enzi na enzi, mwanaume ukimaliza shughuli zako lazma utaenda kilabuni au kwenye bao kuongea na wanaume wenzako. Hiyo ni culture ndio maana wanaume wengi wetu tunaanza kwenda bar na club toka balehe, ni sehemu ya kuconnect na kufurahia maisha pia

Sikatai kwenda bar kulikokithiri husababishwa na wake, Ila haimaanishi kila anaeenda bar ameoa au ana ugomvi na mkewe..

Alcohol, mpira na sex ndio identity kubwa kwa mwanaume wa kitanzania. Kwa hiyo hivyo vitu anavipata bar.

Kuwa na michepuko na kuihudumia hiyo sio service kwa jamii Ila service kwa matamanio binafsi. Na unaposema pesa ya mama inaishia kwa watoto wake kwa sababu haitawanyi kwenye bar na michepuko.

Kwani anapoenda sokoni kuhemea vyuku vya kuwafurahisha watoto wake, wale watu wa sokoni sio jamii?..

Anapoenda kununua nguo au mawigi, lipstic, perfumes na kufanyia watoto wale sherehe ndogo ndogo. Hizo zote haziingii katika mzunguko ?...

Au ulimaanisha nini labda unieleweshe
 
mada yako nzuri sana. Kwenye customer care wanawake asilimia kubwa huwa wanazingua. Ila pamoja na yote, mwanamke hasa walio below 50 years, akikosa attention hata kama ni mzuri na ana pesa huwa hana furaha. Attention ni kila kitu.
 
Mkûu kuhusu Swala la Mwanamke kupata Pesa na kubadilika ni Jambo ambalo limetokea Kwa Wanawake wengi Sana sio Tanzania tuu Bali Duniani.

Kiasili Wanawake wameumbwa na kiburi na dharau hasa wakiwa na Ûzuri na uwezo. Wanawake wasio na kiburi Wala dharau ni wachache Mno na hao NI exceptional na katika hao exceptional kûna àmbao kiburi chao wamekificha Kwa sababu tuu hawavutii, hawananguvu na Hawana Pesa.

Unapoambiwa mwanamke lazima aringe ndîo tafsiri halisi ya jeuri na kiburi



Kûna mambo hayahitaji utafiti Mkuu.
Wanawake kwèñye suala la biashara unapozungumzia Kutoa huduma Bora Wanawake wengi hawawezi kutoboa mbele ya Mwanaume.

Hata hospital Wanawake wajawazito Asilimia tisini na tisa hutaka kuhudumiwa na Madaktari Wanaume. Hivyo ni Jambo la Kawaida Kabisa

😃😃
Mimi sijui kama bodaboda wanashutumiwa kuharibu Ndoa za Watu.
Tukienda hata ustawi au Mahakamani wanaotuhumiwa kutia Mimba au kubaka wengi waô siô bodaboda.

Sema Kwa vile labda kûna interaction kûbwa Baina ya bodaboda na watu(hasa Wanawake )Hali àmbayo inapelekea Watu kudhani wanatoka kingono sana na wanawake kuliko makundi mengine.



Mkûu kwèñye suala la mapenzi au ngono makundi yôte yanafanya vizuri.
Ila unachoeleza ni Kasumba Mbaya iliyopo kwèñye jamii kuwa ukifanya Kazi inayokukutanisha na Wanawake Basi unawala mademu wengi Kuliko makundi mengine Jambo ambalo halina uhalisia.



Umechangia vizuri Sana.

Kama utachunguza hoja zangu utagundua kuwa Nilichoeleza kinaeleza uhûsiano wa Mwanamke kupata Pesa na mchango wake katika familia na Jamii.

Sijasema Mwanamke Hana mchango Nop!
Nimeeleza Mwanamke Pesa yake ni yake(wakiwemo Watoto lakini mtoe Mume)
Lakini Pesa ya Mwanaume ni ya jamii nzima.

Ndîo maana kûna mamilioni ya single mothers Duniani wanatunzwa na kusomeshewa Watoto waô na Wanaume.

NI nadra kukuta mwanamke Duniani anamtunza mume na Watoto WA kambo.
Duniani siô ajabu wasifike Wanawake Mia Moja Wanaofanya hivyo.

Au zîpo familia nyingi za Wanawake zinazotunzwa na Wanaume Kisa Binti Yao aliolewa.

Lakini ni nadra kukuta mwanamke akijenga Ukweni na Kûhudumia familia ya Mwanaume.

Mkuu naona upo defensive zaidi kuliko kusoma na kunielewa..

Sipingi unachokisema Ila kutumia specific group ambayo kwa kiasi kikubwa haiendani na maada unayosema kutengeneza general conclusion sio sawaa..

Nimeishi maisha yangu mengi katika neighbourhoods za kawaida ambao hao wanawake wanatokea. Najua hustles na struggles zao pia

Yani hiyo mada labda ungeongelea professional works ambazo wanawake wengi ni modern tofauti na hao wa masokoni ambao wengi ukiwauliza feminism hawaijui zaidi ya traditional values walizokuzwa nazo. Mada yako yaweza kuwa sawa Ila sample ya wanawake wapambanaji uliyoitumia sio sawa

Na kingine nachokiona ni kama upo kutetea "brotherhood" ambao kunakulimit kukubaliana na exceptions katika maandiko yako.

Ni sawa hapo unapotetea kuwa wanaume wapewe kipaumbele kwenye manunuzi kama bread winners kwa sababu hiyo sio traditional role ya wanawake ambao wao hawahudumii familia. Na hapo hapo bado unasema ni ngumu mwanamke kulea watoto wa wenzie finanacially na wakati kwa kiasi kikubwa wengi halikuwa jukumu lao. Wangewezaje sasa kulea na wakati financially wanawategemea wanaume. Yani labda uwaseme kwenye ubaguzi wa kimalezi lakini sio kutoa matumizi kwa sababu socially halikuwa jukumu lao

Hivyo naona una mkanganyiko wa kujua mstari uliopo kati ya dunia iliyopita na ya sasa na vipi unaweza blend mabadiliko yake ili utoe analysis iliyoshiba

Sio tu kwa kufurahisha "brotherhood" Ila kwa kuongea analytical pasipo bias ambayo naiona kwenye bandiko lako
 
Ukweli kabisa kabisa, Mwanamke akiwa Boss shughuli unayo na awe hajakunwa vizuri home kwake au amekosana na mume wake, au Hawara wake, ofisi nzima mtamkoma
Wanawake wengi wana inferiority complex haswa wakiwa katika ngazi za maamuzi. Maana wengi huhisi akiwa kawaida watu watamchukulia poa kwa sababu ya jinsia yake ndio maana wengi wenye hizo insecurities, kitu kidogo ata over react ili tu aogopwe

Ila wapo waliopo cool
 
Back
Top Bottom