Nikifa miradi hii nani ataiendeleza: Hayupo, na nchi inasonga na miradi kedekede

Yule Mwendazake alikuwa anawa-blind watz wajinga

Ebu ona Mama anavyofanya Mambo Makubwa bila kelele in short Tz Kuna watu wajanja wajanja Kama huyo Magufuli.
Hebu tuambie nini kimefanyika mkuu, usiongee bila evidences
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
 
Kumsema sana marehemu ni kutojiamini japo sikupenda namna ya uongozi wake ila muacheni apumzike miradi iendelee isiendelee haikuletei chakula mezani amka acha kusifia na kuponda mambo usiyo yajua na yasio na faida kwako watu wapo kwenye mkondo wa ulaji na hawasifii kama nyie maskini tafuta mkwanja dogo uache kupambana na mizimu ya magufuli
 
Inasonga wapi ilhali miradi yote mikubwa muda umeongezwa kwa hoja dhaifu kabisa.

Anzia Bwawa la kuzalisha umeme mpaka daraja la Kigongo-Busisi muda utaongezwa.

SGR Dar-Moro ujenzi tayari ila mnacheza rege tu umeme hamna hata wa kusukuma kiberenge, yaani ili treni ya mkandarasi itembee lazima umeme ukatwe uraiani!
 
Air tanzania hoi, sgr hoi, MNHP hoi, wizi umerudi, mashara kazini yamerudi. Niambie ni mradi upi upo kwenye timing iliyowekwa yote ipo nyuma ya mda kwa mwaka mzima
Kwanza unatakiwa kujiuliza JPM kabla Hajafa hii hii MIRADI yote iliyo anza kwenye utawala wake
Ilianza lini? Na hadi umauti unamkuta ilikuwa ipo asilimia ngapi?

Then jiulize toka SSH alipo kuwa RAIS hadi sasa hiyo miradi ipo asilimia ngapi kwa sasa?

MIRADI ipi MIPYA imeanza chini ya utawala wake then conclude hiyo analysis yako utapata jibu lililo sahihi kabisa .

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
JPM alikuwa na PhD feki, hata kiingereza alikuwa hajui, sijui alipata wapi moral authority kukagua vyeti vya wenzake
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Alijua bila yeye hakuna Tanzania
 
Alikuwa mpiga dili mkuu
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Watu walivyokuwa wanamsifia na kutaka aongezewe muda wa Kubakia madarakani ila inashangaza kuona amekufa watu wameyasahau mengi aliyofanya
Hili ni funzo kubwa kwa wenye maarifa!
 
Alikuwa mpiga dili mkuu
Mimi naoan huyu Rais aliyepo sasa kama huwa anapita humu nataka nimshauri jambo moja muhimu sana.

Kama atajaliwa kumaliza utawala/uongozi wake afanye jambo moja muhimu sana MIRADI YOTE atakayo Ianzisha yy anatakiwa aimalize yeye mwenyewe na kabla mwaka mmoja kumaliza UONGOZI wake Mfano 2029 asianzishe MRADI WOWOTE mkubwa ambao hatoweza kuumaliza akiwa katika UONGOZI kwahiyo atakaye kuja Aje na MIRADI yake na yeye hali kadhalika hivyo hivyo ili tuweze kuwa jaji katika hizi Projects walizo zifanya.

Maana kuna MIRADI mengine inafanya na Rais mwengine anapewa SIFA RAIS mwengine kitu ambacho sio sawa kabisa mfano TERMINAL 3 ilijengwa na JK lkn sifa amepewa RAIS MWINGNE.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Nimekumbushia kauli hii tukielekea kwenye maadhimisho.

Ni kauli inayoweza kutolewa na mtu ambaye haamini taasisi, aliamini yeye ni zaidi ya taasisi na zaidi ya Kila mtu, Mungu alivyo fundi, miradi inaendelea, tena anayeendeleza mwanamama.
Yule alikua jambazi sugu 2025 tutawanyoosha ubunge watausikua hewani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…