Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Aisee polee sanaTangu nitoleww bikira mkuu
Dawa ipo ,yule aliyeachana naye ndokacheza mchezo huo,kioo changu kinaonesha mwanaume aliyenaye hata miezi 9 Toka
Mwaka wa 2 mkuu…. Kimedanganya kioo chako
Haya endelea kuchaji Nokia ya tochi kwa chaja ya type CHuu siufuatiii
hapa kweli umenenaYashawai kunikuta Cha kwanza kabisa hakikisha unatibu magonjwa yote yanayohusiana na k yako aswa aswa fangasi na mtu wako nae atumie dawa hakikisha unapona vizuri ndiyo mkutane kimwili na mkikutana toa mawazo ya nitaumiaa weka mawazo kwamba unaenda utaenjoy,pili jitahidi kula nyanya chungu na bamia kwa wingi na mtindi,tatu msikae muda bila kufanya fanyeni Mara kwa Mara kwa kawaida binadamu tumeumbwa kuzoea utazoea na utaenjoy,nne ukihisi maumivu makali wekeni mate na ufinyie kwa ndani na asiwe anaitoa nje apige ndani kwa ndani .
duu, mate tenaYashawai kunikuta Cha kwanza kabisa hakikisha unatibu magonjwa yote yanayohusiana na k yako aswa aswa fangasi na mtu wako nae atumie dawa hakikisha unapona vizuri ndiyo mkutane kimwili na mkikutana toa mawazo ya nitaumiaa weka mawazo kwamba unaenda utaenjoy,pili jitahidi kula nyanya chungu na bamia kwa wingi na mtindi,tatu msikae muda bila kufanya fanyeni Mara kwa Mara kwa kawaida binadamu tumeumbwa kuzoea utazoea na utaenjoy,nne ukihisi maumivu makali wekeni mate na ufinyie kwa ndani na asiwe anaitoa nje apige ndani kwa ndani .
Pole cute...nalo litapita tu
We nini na wewe mbona unataka kutukatisha Uhondo mtu kakuambia weka hapa details zake unaleta mambo ya pm [emoji23][emoji23][emoji23] njoo pm hapa hapafai kutaja herufi ila mmefanana vingi mno, age , mwaka wa kuachana na mengine nayaona.
The rest is history my dear but nilimpenda sana bila kujali hiyo hali yake maana kuskip game ilikuwa kawaida kumuepushia maumivu.
Huo utulivu mnao kwa sababu ya hiyo hali na sio vinginevyo.
Mate yake Kama atapenda sio lazima au Kuna virainishi vingiduu, mate tena
Virainish ndo nn?Mate yake Kama atapenda sio lazima au Kuna virainishi vingi
Antidepressants kama Sertraline na Fluoxetine zinasaidia kupunguza maumivu ila dawa kabisa hamna cause sometimes inasababishwa na nerve damage.naomba kujua dawa nzuri ya vulvodynia ?
Kausha mkuu 😎We nini na wewe mbona unataka kutukatisha Uhondo mtu kakuambia weka hapa details zake unaleta mambo ya pm [emoji23][emoji23]
Virainish ndo nn?
Aliyeulizwa kaelewa, wacha ujuba.Sasa kuna kuwa na mume nje ya ndoa , mume si yule aliyekuoa
Huandaliwi ipasavyo, unato***bwa kama vile unabakwaSasa madam… haiumi kwa ndani inauma nnje yaani anapoanzaa kuingizaa na pembeni mwa nyama
Chukulia mfano huu ukiwa umeweka hivi vidoe[emoji108]halafu kipite kitu hapo kati kama kina force hivi sasa pembeni yake laZima kutanuke kuwe kunauma
we ni mzaliwa wa kanda ya ziwa?
Bukoba mojawe ni mzaliwa wa kanda ya ziwa?
Una umri gani ?Sijawah tumia mpnz yaani mimi ndy nayaanza mapenzii ila naona keroo tu
Unajuaje kuwa ni normal wakati huyo ni mwanaume wako wa pekee ?Nimeeleza ukwwli hapo mkuuu ni kisema kawaida namaanishaa…. Sio mguu wa mtoto ni normal tu
basi nshaelewa shida yako iko wapi, nilijua tu umetoka ukanda huoBukoba moja