Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very.....Sijui. Ila inasikitisha sana.

Screenshot_2023-04-27-23-17-12-604_com.twitter.android~2.jpg
 
shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
 
shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Wote, wakanyagwaji na mkanyagaji ni wajinga watupu.
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
watu wa kusini hiyo ni desturi Kwa baadhi ya makabila ni kama heshima Hata mtu anaeoa ama kuolewa huwa wanafanya hivo japo sijui umelichukua Kwa mtazamo gani
 
Huu upuuzi hauwezi kwisha hadi siku mungu wa babu Nyenyere uitwao Mwenge utakapofutwa
shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Show me your friend i will tel you who you are
 
Hio ni Mila ya waiyao, wamelala na wamakuja, wanaita kugalsuka na wanatumia jump ongeza mtu
 
Nina changamoto ya kufunguka picha kwangu,tatizo ni nini?
 
Mtaji wa Ccm ndio watu wa aina hiyo.
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
 
Back
Top Bottom