Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
 
Huwa najadiliana na watu sio mapepo, wapigie kuzimu unakotumika mjadili huko ndiko unakostahili namijadala yako
Nadhani na wewe unamkanyaga ninyi hamna akili kabisa mnakanyaga mama na dada zenu matakoni.
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Kiongozi mwenye akili timamu hawezi akakubali kukanyaga mat.ako ya akina mama
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Mimi naona hao waliolala hapo chini ni takataka za kuchoma kabisa moto.
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Hao wamama hawajiheshimu mwanamme anakukanyaga vipi matakoni na umetulia tu what if akateleza akakunyaga kwenye uti wa mgongo SI unaweza kupooza kabisa?
 
Tamaduni zao zikoje? Tusije tukatumia nguvu nyingi kumbe utamaduni wao ndio ulivyo!
 
shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Hizo ndio akili zašŸ€
 
Kwani kipindi kile KAGAME anamwambia Hayati >Kambarage unadhani hakuwa na akili.
Msituchoshe bhana,mwacheni Nnape ainjoy himself.
 
Back
Top Bottom