Dikteta hastahili heshimaKua na Nidhamu na Kiongozi ata kama hapumui..Nidhamu ni jambo muhimu sanaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta hastahili heshimaKua na Nidhamu na Kiongozi ata kama hapumui..Nidhamu ni jambo muhimu sanaš
shida ni watanzania
hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi
Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Nadhani na wewe unamkanyaga ninyi hamna akili kabisa mnakanyaga mama na dada zenu matakoni.Huwa najadiliana na watu sio mapepo, wapigie kuzimu unakotumika mjadili huko ndiko unakostahili namijadala yako
Hakuna tofauti tena bora kuyashika. Kukanyaga maana yake hayana thamani kabisaKukanyaga makalio ya wamama si ni sawa na kuyashika shika.....
Kiongozi mwenye akili timamu hawezi akakubali kukanyaga mat.ako ya akina mamaHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Mimi naona hao waliolala hapo chini ni takataka za kuchoma kabisa moto.Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Hao wamama hawajiheshimu mwanamme anakukanyaga vipi matakoni na umetulia tu what if akateleza akakunyaga kwenye uti wa mgongo SI unaweza kupooza kabisa?Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Hizo ndio akili zašshida ni watanzania
hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi
Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo