Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

mbona kuna wachungaji wanatembea juu ya migongo ya waumini wao ivyo ivyo
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Ndiyo hao wanasimamia milleniam goals
 
We unamkanyagaga mama Yako? Umemkanyaga marangapi?
Umesema ndo tamaduni za kwenu mnakanyaga dada na mama zenu na msipofanya hivyo ni kosa... Watu wa hovyo sana nyie... Mnakanyagana na wazazi wenu.
 
Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
By Godwin Mollel
 
Hakuna kitu kama hicho. Huyo mhusika hana akili. Wewe mama yako akikwambia umkanyage matakoni utakubali?
Huwa najadiliana na watu sio mapepo, wapigie kuzimu unakotumika mjadili huko ndiko unakostahili namijadala yako
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Shida kwa viongozi ama shida kwa wavaao nguo za kijani na njano (walio lala)?
 
shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Inasikitisha sana
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Nape, January, mwigulu hawa watu hata wafanye nn lazima wale timu kudoka foka wawakosoe.
Hii picha ni ya leo? Mlikuwa wapi siku zote? Sijasema ni sawa
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Hi ni laana.
Nape, Tuma anakusalimia toka mitaa ya Kariakoo.
 
Back
Top Bottom