Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hao wanasimamia milleniam goalsHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Na ukute ni wake za watu usiku wanatakiwa kuimarisha ndoa zaoHalafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Kama ni utamaduni wao kwa nini baadhi wamevaa sare za chama?!Bas ni utamaduni wao hasa wamakua sio upumbavu Wala ujinga
We unamkanyagaga mama Yako? Umemkanyaga marangapi?Hakuna kitu kama hicho. Huyo mhusika hana akili. Wewe mama yako akikwambia umkanyage matakoni utakubali?
Heshimu kazi za watu, Mkuu, ili uheshimiwe.....sawa na konda wa daladala tu
Umesema ndo tamaduni za kwenu mnakanyaga dada na mama zenu na msipofanya hivyo ni kosa... Watu wa hovyo sana nyie... Mnakanyagana na wazazi wenu.We unamkanyagaga mama Yako? Umemkanyaga marangapi?
Huwa najadiliana na watu sio mapepo, wapigie kuzimu unakotumika mjadili huko ndiko unakostahili namijadala yakoHakuna kitu kama hicho. Huyo mhusika hana akili. Wewe mama yako akikwambia umkanyage matakoni utakubali?
Hutaki mtu ale mahindi??View attachment 2602752
Angalia jingine hili
Shida kwa viongozi ama shida kwa wavaao nguo za kijani na njano (walio lala)?Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Inasikitisha sanashida ni watanzania
hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi
Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Nape, January, mwigulu hawa watu hata wafanye nn lazima wale timu kudoka foka wawakosoe.Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Kua na Nidhamu na Kiongozi ata kama hapumui..Nidhamu ni jambo muhimu sana🙏View attachment 2602752
Angalia jingine hili
Aiseewatu wa kusini hiyo ni desturi Kwa baadhi ya makabila ni kama heshima Hata mtu anaeoa ama kuolewa huwa wanafanya hivo japo sijui umelichukua Kwa mtazamo gani
Hi ni laana.Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Ni kweli ni utamaduni wao nafikir wamakuaAisee