Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

Nikiiangalia hii picha ya Nape naona kuna shida kubwa kwa hawa viongozi wetu

Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Nusu ya watu Tanzania hawana elimu na ndio wapiga kura wengi, sasa kotakana na wengi wao wanachagua mjinga mwenzo kuwaongoza, kwaiyo hata ukiwaona hawa viongozi maamuzi wanayoaamua usiwalaumu sana kwani wapiga kura na akili zao ndio hizo hizo..
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Sasa kama wenyewe walitaka wapandiliwe....
Juu ya migongo yeye angefanyaje.....
Yaan,
Ni vituko juu ya vituko Jk1, JK 2, mkapa,mwinyi, JPM wasinge kubali huu upuuzi...
Hapo hakuna tofaut na kutafuta kiki.........
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
unakuta huyo ni mke wa mtu au mama ake mtu
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Wote CCM hao!!
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Uyu na yule mchungaji alieua watu takriban 90 nchini kenya kwa kwajaza imani ya kutokula mpaka wafe ili onana na Yesu hawana tofauti kabisa

Yani unakanyaga makalio ya wenzio kisa kuonekana unakubalika kisiasa, sasa bora angewakanyaga makalio akiwa peku, ila kala kiatu alafu anawakanyaga,

Na nasema ccm ni wajinga ila wajinga kivile huwezi mkanyaga makalio hujatoa rushwa ya pesa hakuna ,hapo kila alielala chini juwa hamtumikii Nape bali tu ile pesa kalipwa basi,

Naongea hili kwa kujiamin ,kama kweli walilala wakanyagwe makalio yao kwa mapenzi yao Nape ajitokeze kulipinga,

Asije pindisha ukweli , maana kiama , itakua juu yake ,asema Bwana
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Mkuu hayo ndiyo madhara ya mchanganyiko wa ujinga na upumbavu kwa pamoja! Hawa ndiyo watu wa kariba ya Kibwetere ama Mackenzie. Wao hufanya mambo kwa kadiri ya mahitaji ya jamii duni na maskini zilivyo.

Jamii kama hizi zitawaliwa na mila na desturi ambazo ni mbovu, na wala haziendani na ustaarabu wa kisasa,. Badala ya kiongozi kuwa "agent of changing behavior" yeye ndiyo kwanza anaona sifa ya kuendeleza hali kama hiyo.

Akili kama hizi ndiyo zile zile za kupiga "push-ups" mbele za watu badala ya kuinadi ilani ya chama, kupiga deki barabarani ili mgombea unayempenda apite juu yake, kusukuma gari la kiongozi, viongozi wa kitaifa kwenda kwa Babu wa Loliondo kupata kikombe chake cha dawa,

Kiongozi ni lazima awe kichocheo cha mageuzi ya fikra pevu na chanya kwa wale anaowaongoza. Ni vyema awe mstari wa mbele kuwashauri waachane na mambo ambayo hayana tija yoyote kwao na kwake binafsi.

Ni lazima kiongozi atumie njia fikirishi ili kuibadirisha jamii anayoishi, anayoiongoza, ama kutaka kuiongoza. Azitumie ziwe kama zana (tools) za mabadiliko, njia mbadala (alternative means) ya mabadiliko, na vilevile ziwe ndizo wakala wa mabadiliko (agent of change) kwa wale anaowaongoza.
 
Akiambiwa kuhusu hilo tukio huwa anakuwa mkali sana kutetea ni utamaduni wao![emoji1787]
 
Inavyokumbuka walimlazimisha awakanyage na akaambiwa akikataa kimila ni jambo baya..Sasa hapo mtu ufanyaje?? Hakuna haja kulalamika nimila zao nawao wanafurahia kukanyagwa chamsingi mamila ya kijinga tuyaache tusimtuhumu mtu maana ukikahidi unawea pigwa na mapigo ya kimizimu
 
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.

Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.

View attachment 2601847
Lakini huyu baba mweee... but hayo yanayokanywagwa nayo vipi😡
😡😡
 
Inavyokumbuka walimlazimisha awakanyage na akaambiwa akikataa kimila ni jambo baya..Sasa hapo mtu ufanyaje?? Hakuna haja kulalamika nimila zao nawao wanafurahia kukanyagwa chamsingi mamila ya kijinga tuyaache tusimtuhumu mtu maana ukikahidi unawea pigwa na mapigo ya kimizimu
Hakuna kitu kama hicho. Huyo mhusika hana akili. Wewe mama yako akikwambia umkanyage matakoni utakubali?
 
shida ni watanzania

hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco

Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi

Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?

Shit!!!!


Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Bora hao ,wanaovuliwa chupi kanisani
 
Screenshot_20230211-164849.png

Angalia jingine hili
 
Back
Top Bottom