antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hahaha...Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
So, Mpwayungu Village ana hoja ya msingi juu ya walimu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha...Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
Nusu ya watu Tanzania hawana elimu na ndio wapiga kura wengi, sasa kotakana na wengi wao wanachagua mjinga mwenzo kuwaongoza, kwaiyo hata ukiwaona hawa viongozi maamuzi wanayoaamua usiwalaumu sana kwani wapiga kura na akili zao ndio hizo hizo..Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
huu ni uzwazwaazwaaHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Sasa kama wenyewe walitaka wapandiliwe....Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
unakuta huyo ni mke wa mtu au mama ake mtuHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Mama yako kama ana utamaduni huo akilala umkanyage makalio yake utafanya hivyo?Hata kama ni utamaduni wao?
Wote CCM hao!!Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Uyu na yule mchungaji alieua watu takriban 90 nchini kenya kwa kwajaza imani ya kutokula mpaka wafe ili onana na Yesu hawana tofauti kabisaHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Mkuu hayo ndiyo madhara ya mchanganyiko wa ujinga na upumbavu kwa pamoja! Hawa ndiyo watu wa kariba ya Kibwetere ama Mackenzie. Wao hufanya mambo kwa kadiri ya mahitaji ya jamii duni na maskini zilivyo.Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Lakini huyu baba mweee... but hayo yanayokanywagwa nayo vipi😡Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Changamoto inaanza na elimu yetu mbovuKuna vitu ukiangalia unapata majibu ya utumwa wa mtu mweusi kudumu Kwa muda mrefu vile!
🤣🤣🤣🤣Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Hana akili ndo maana. Angekuwa na akili angesema alikoseaAkiambiwa kuhusu hilo tukio huwa anakuwa mkali sana kutetea ni utamaduni wao![emoji1787]
Hakuna kitu kama hicho. Huyo mhusika hana akili. Wewe mama yako akikwambia umkanyage matakoni utakubali?Inavyokumbuka walimlazimisha awakanyage na akaambiwa akikataa kimila ni jambo baya..Sasa hapo mtu ufanyaje?? Hakuna haja kulalamika nimila zao nawao wanafurahia kukanyagwa chamsingi mamila ya kijinga tuyaache tusimtuhumu mtu maana ukikahidi unawea pigwa na mapigo ya kimizimu
Bora hao ,wanaovuliwa chupi kanisanishida ni watanzania
hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi
Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo