Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Stupid.Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very......
Wote, wakanyagwaji na mkanyagaji ni wajinga watupu.shida ni watanzania
hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi
Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa hapo
watu wa kusini hiyo ni desturi Kwa baadhi ya makabila ni kama heshima Hata mtu anaeoa ama kuolewa huwa wanafanya hivo japo sijui umelichukua Kwa mtazamo ganiHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Nimelichukulia kwa mtizamo wa Upumbavu wa kiwango cha juu na ukosefu wa Busara uliopitiliza.watu wa kusini hiyo ni desturi Kwa baadhi ya makabila ni kama heshima Hata mtu anaeoa ama kuolewa huwa wanafanya hivo japo sijui umelichukua Kwa mtazamo gani
Hata kama ni utamaduni wao?Nimelichukulia kwa mtizamo wa Upumbavu wa kiwango cha juu na ukosefu wa Busara uliopitiliza.
shida ni watanzania
hakuna nchi ina wajinga wengi kama hii.
Halafu waliolala hapo ni wanawake na huyo nape anawakanyaga kwenye viuno na mataco
Daaah imeniuma sana kuona Mitanzania mingi ni mijinga hivi
Goddamit yani mtu unalala chini eti kilaza kama nape anakukanyaga matakoni?
Shit!!!!
Hapo nahisi WALIMU ndo wamejaa
Huo sio utamaduni ni ujinga.Sio lazima mambo yaliyoanzishwa na mababu zetu uko zama za giza ambazo walikua hawajaelimika na ambayo hayana maana na ulazima tuendelee nayo kwa mwavuli wa utamaduni.Hata kama ni utamaduni wao?
Bas ni utamaduni wao hasa wamakua sio upumbavu Wala ujingaNimelichukulia kwa mtizamo wa Upumbavu wa kiwango cha juu na ukosefu wa Busara uliopitiliza.
Show me your friend i will tel you who you areHivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Matambiko tu hayo!Bas ni utamaduni wao hasa wamakua sio upumbavu Wala ujinga
Sina hakika lakin nimeona watu wengi wanfanyiwa hivoMatambiko tu hayo!
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii nchi haiwezi endelea kwa aina hii ya watu ambao ni very...... Sijui. Ila inasikitisha sana.
View attachment 2601847
Nakazia ✍️✍️✍️" Mwanamapinduzi John Okello Ndiye Baba wa Taifa la Wazanzibar akumbukwe "