Nikimpa msaada mwanaume mwenzangu nafsi yangu huwa inaridhika na kufurahi tofauti kama nikimsaidia mwanamke

Nikimpa msaada mwanaume mwenzangu nafsi yangu huwa inaridhika na kufurahi tofauti kama nikimsaidia mwanamke

Kwakweli mnasaidiana vingi siku hizi, soon kutakuwa hamna haja ya mwanamke maana nafasi zetu mnaicheza vizuri kweli,, ukifikia kwenye kuzaa waambie unaowasaidia kwa moyo mmoja wakuzalie msisaidiane mengine tu,, pumbavu
 
Kwakweli mnasaidiana vingi siku hizi, soon kutakuwa hamna haja ya mwanamke maana nafasi zetu mnaicheza vizuri kweli,, ukifikia kwenye kuzaa waambie unaowasaidia kwa moyo mmoja wakuzalie msisaidiane mengine tu,, pumbavu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thread closed!
 
Basi wanawake wamekutenda.

Binafsi mwanamke danga naumina kama nyoka mweupe
 
Wanaume ndo tupo hivo mkuu.Yani ukimsaidia msela unafeel good sn sn.
 
Yani humu kumejazana mashoga tupu,, yanajitambulisha kwa mbinu tofauti wajinga ndo hawaelewi mbinu zao
Yaani kila siku wanawake this, wanawake that!! Kumbe wapo kwa mission[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Hayo ni yako mkuu,ila naturally mwanaume akimsaidia mwanaume mwenzake anaona amefanya kitu kikubwa sanaaa ukilinganisha na kumsaidia mwanamke. Sina ubaguzi wa kusema wanawake wasisaidiwe la hasha! Kusaidiana ni muhimu kwa jinsi zote bila kubaguana.
 
Yani ni aibu,, wanaume kumsifia mwanaume mwenzie hadharani kwa huba,,
 
Ni kweli kabisa ni bora kumsadia mwanaume,
Mwenzako,unaweza msaidia mwanamke akajua unamtaka.
 
Mi kumsaidia yoyote ambae atathamini msaada wangu ndo haitaniuma, kwa mwanamke najua nampa nae anipe, au madem zang wa zaman au walokuwa wananipenda nikajitenga nao najiskia raha kuwasaidia kwani wana shida kweli
Mwanaume nampiga tafu tu ili baadae arudishe nichompa, ila akishindwa kurudisha haina noma, saana kama kwel katingwa, kama hajatingwa na kashindwa kurudisha, simsaidii tena
 
Back
Top Bottom