Nikimpa msaada mwanaume mwenzangu nafsi yangu huwa inaridhika na kufurahi tofauti kama nikimsaidia mwanamke

Nikimpa msaada mwanaume mwenzangu nafsi yangu huwa inaridhika na kufurahi tofauti kama nikimsaidia mwanamke

Kwakweli mnasaidiana vingi siku hizi, soon kutakuwa hamna haja ya mwanamke maana nafasi zetu mnaicheza vizuri kweli,, ukifikia kwenye kuzaa waambie unaowasaidia kwa moyo mmoja wakuzalie msisaidiane mengine tu,, pumbavu

Mbona metoa comment za hasira?
Mkituombaga Msaada baada ya kuwatongoza mara nyingi haya ndio mawazo yenu:

1)Ngoja nimchune na kumsumbua huyu mwanaume boya na mshamba si kajileta.
2)Huyu mkaka sio handsome kabisa, nitamwigizia nampenda, nitamlia vijihela vyake weee na uchi simpi ng'oo.
3)Ngoja nijifanye nimemkubalia ili anihonge vizuri, baadaye nimkimbie.
4)Hanifahamu vizuri ananipa hela, huyu mwanaume ni mjinga kweli.
5)Alinipa elf 10 na wenziee Watano wakinipa elf 10 siku imepita
6)Nina shida ya kipesa hapa mjini, mwanaume mwenyewe mbaya ana kitambi, Akinishika naona kero, nikimwona anakula ni kero, ngoja nijifanye nampenda, nimzalie mtoto, au nimlazimishe anioe ili anipe matunzo, halafu baadae nianze visa nimwache tugawane mali nusu kwa nusu Kapeace Shunie Cillah Mariposa
 
Hii kitu huwa ninayo mimi tu au na kwa wengine.

Yaani nikitoa msaada wa ali na mali kwa mwanaume mwenzangu nafsi huwa yangu huwa inaridhika na kufurahi sana tofauti na kama nikimpa msaada mwanamke au mtoto wa kike.

Yaani huwa najihisi kutapeliwa na moyo wangu hauridhiki wala kufurahi hata kidogo na hii nahisi imesababishwa na mazingira niliyopitia yaani unamsaidia mwanamke ukigeuka tu huku nyuma anakung'ong'a na kukucheka wengine hufikia kukuona fara au mshamba kwakweli hii hali imeniathiri kisaikorojia yaani kumpa mwanamke msaada nafsi yangu inakuwa nzito sana.

Juzi kuna dada ameniomba elfu thelathini ya matibabu nimemnyima na badala ya kujutia kitendo changu naona nafsi yangu inafarijika na kufurahi [emoji848][emoji848].

[mention]Mwizukulu mgikuru [/mention] , Saidia Wamama Watu wazima Haswa level kama Ya Mama Mwenye mjukuu kwa mfano, kwa hawa viumbe ukitoa msaada Nafsi yako itafurahi na kuridhia, hawa Mabinti Mteremko wabinua Matako instagram na TikTok hata Mungu atakushangaa kwa huo msaada.
 
Back
Top Bottom