GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Baba yake Kafa
2. Alimtelekeza tokea akiwa Tumboni
3. Baba yake akitaka Kumuua
4. Baba yake kasema haikuwa Mimba yake
5. Ndugu za Baba yake wamemkataa
Ila nje ya sababu hizi au kama huyo Mwanamke nitakayemuoa hatonipa hizi sababu Tano ( 5 ) tajwa hapa juu basi atafute kwa kumpeleka huyo Mtoto ( Mwanae ) kwani sitomlea na sitolilea Bao / Goli la Mwanaume Mwenzangu na ikitokea nikamlea bila hiyana basi jua Kiuhakika Roho Mtakatifu ameniingia na amenijaa vilivyo GENTAMYCINE.
Mwenyezi Mungu atusaidie tu.
2. Alimtelekeza tokea akiwa Tumboni
3. Baba yake akitaka Kumuua
4. Baba yake kasema haikuwa Mimba yake
5. Ndugu za Baba yake wamemkataa
Ila nje ya sababu hizi au kama huyo Mwanamke nitakayemuoa hatonipa hizi sababu Tano ( 5 ) tajwa hapa juu basi atafute kwa kumpeleka huyo Mtoto ( Mwanae ) kwani sitomlea na sitolilea Bao / Goli la Mwanaume Mwenzangu na ikitokea nikamlea bila hiyana basi jua Kiuhakika Roho Mtakatifu ameniingia na amenijaa vilivyo GENTAMYCINE.
Mwenyezi Mungu atusaidie tu.