Nikioa mwanamke mwenye mtoto nitamlea mtoto wake kwa sababu zifuatazo tu!

Nikioa mwanamke mwenye mtoto nitamlea mtoto wake kwa sababu zifuatazo tu!

Kwa wanawake ni ngumu nyinyi mnacho angalia ni Pesa na maisha mazuri hamtaki kujua watoto wa mwanaume, yani kwa mfano wewe hapo mtoto wa Mengi atake kukuoa atakama ana watoto kumi nje huwezi kumkataa kwa kigezo cha watoto, labda utamkataa kwa vigezo vingine.
Hatuwakatai ila shida vitimbi vya mama mtoto ndio mtu unaanza kujuta
 
[emoji23]niache bhana
Tatizo lenu mna inferiority na hii ndio inaleta shida

Kuna single mother mmoja aliachana na jamaa yake kisa amekachapa katoto kake (haka katoto toto kalifanya kosa la kukataa kula ugari)

Basi mama mtu akasepa kwa jamaa kuwa mtoto wake anateswa akaja kwangu kunishtakia
Nikamuuliza vip kama baba mzazi ndio angekuwa amemchapa mtoto ungeondoka ?
Nikamuuliza tena baba yako mzazi hakuwai kukuchapa je mama yako aliondoka ? Akawa hana majibu

Ushauri tu kwa single mother kuzaa na wrong person ipo na ukishaona umezaa na mtu ambae hauwezi kuolewa nae JITAHIDI SAANA MTOTO WAKO AWE NA TABIA NJEMA kwa sababu TABIA njema zitafanya aishi popote pale hakuna baba mlezi ambae anaweza kuchukia mtoto mwenye adabu na akili
 
Obviously, you are right, woman 'll act like a third party in that relationship ili aone kama unampenda mwanae nae aigize kukupenda[emoji846]

In short, mwanamke akiwa na mtoto anakuwa hana mapenzi ya kweli kwa mwanaume ambaye sio baba wa mtoto wake, bali anabakia kucheza na akili ya mwanaume kulingana na treatment anazopewa mtoto, ndio maana utawasikia wakisema mtoto wangu ndio kila kitu hii inapelekea wasiwe na maamuzi sahihi katika mahusiano na mwanaume ambaye sio baba wa mtoto. Unaweza kuwa nae halafu mtu wa pembeni anachombeza huku akiigiza kumjali mtoto automatically atavunja mahusiano na wewe akiamini mtu mpya ni ana mapenzi ya kweli nae [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Inferiority complex ndio kinachowatesa zaidi
 
75% ya wanaume wanaooa wanawake wenye watoto ukiwachunguza na wao...

Ni men of weak of characters & losers...

Hii 25% wamejifunza kwa wazazi wao kwamba ni normal tu


Mwanaume ambaye ameweka sawa Kila eneo la maisha yake..Anaanzaje hata kutambulisha mwanamke mwenye mtoto au watoto mbele ya wazazi wake,dada zake ndugu jamaa na marafiki...

Eti huyu ndo shemeji yenu hata aibu huoni wanawake walivyojaa hii dunia..

Basi umeshindwa kabisa ishi nae kinyumba kisirisiri au mfanye mchepuko khaaaa..

Eti huyu ndo mke wangu ila hawa sio watoto wangu.Kuna mnyoa kiduku alimtotoresha mi nimeamua kuwachukua sababu siwezi kupata mwanamke mwingine atakayenikubali...

Women hate losers ndo mana hata hao wanawake wenye watoto ukiishia nae baada ya mda lazima akudharau tu moyoni anawaz hili loser lilikosa mwanamke kabisa mpaka likanichukua Mimi na watoto wangu..utashangaa nae anarudi kwa baba watoto wake mara anakudharau..

Anajua kabisa losers can not be trusted..Mara ataanza kujenga kwao kisiri siri..Hawezi kuamini mwanaume mwenye kila kitu anaweza mchagua yeye na watoto wake eti kakosa kabisa mwanamke wa kueleweka...

Huu ni ukweli mchungu
 
Tatizo lenu mna inferiority na hii ndio inaleta shida

Kuna single mother mmoja aliachana na jamaa yake kisa amekachapa katoto kake (haka katoto toto kalifanya kosa la kukataa kula ugari)

Basi mama mtu akasepa kwa jamaa kuwa mtoto wake anateswa akaja kwangu kunishtakia
Nikamuuliza vip kama baba mzazi ndio angekuwa amemchapa mtoto ungeondoka ?
Nikamuuliza tena baba yako mzazi hakuwai kukuchapa je mama yako aliondoka ? Akawa hana majibu

Ushauri tu kwa single mother kuzaa na wrong person ipo na ukishaona umezaa na mtu ambae hauwezi kuolewa nae JITAHIDI SAANA MTOTO WAKO AWE NA TABIA NJEMA kwa sababu TABIA njema zitafanya aishi popote pale hakuna baba mlezi ambae anaweza kuchukia mtoto mwenye adabu na akili
Kabisa
 
75% ya wanaume wanaooa wanawake wenye watoto ukiwachunguza na wao...

Ni men of weak of characters & losers...

Hii 25% wamejifunza kwa wazazi wao kwamba ni normal tu


Mwanaume ambaye ameweka sawa Kila eneo la maisha yake..Anaanzaje hata kutambulisha mwanamke mwenye mtoto au watoto mbele ya wazazi wake,dada zake ndugu jamaa na marafiki...

Eti huyu ndo shemeji yenu hata aibu huoni wanawake walivyojaa hii dunia..

Basi umeshindwa kabisa ishi nae kinyumba kisirisiri au mfanye mchepuko khaaaa..

Eti huyu ndo mke wangu ila hawa sio watoto wangu.Kuna mnyoa kiduku alimtotoresha mi nimeamua kuwachukua sababu siwezi kupata mwanamke mwingine atakayenikubali...

Women hate losers ndo mana hata hao wanawake wenye watoto ukiishia nae baada ya mda lazima akudharau tu moyoni anawaz hili loser lilikosa mwanamke kabisa mpaka likanichukua Mimi na watoto wangu..utashangaa nae anarudi kwa baba watoto wake mara anakudharau..

Anajua kabisa losers can not be trusted..Mara ataanza kujenga kwao kisiri siri..Hawezi kuamini mwanaume mwenye kila kitu anaweza mchagua yeye na watoto wake eti kakosa kabisa mwanamke wa kueleweka...

Huu ni ukweli mchungu
Aiseee we jamaa,umeandika ukweli mchungu sana sana

Na wangekuwa wanakujua wangeweza hata kukuua kabisa
 
No. 2 mpaka 5, huyo baba anaweza kukataa majukumu wakati mtoto akiwa mdogo, lakini akishakua na kupata kazzi nzuri from nowhere utaona ameanza kujisogeza na kusema huyu ni wangu. Tena ataanza kumwita mtoto mwenyewe na kujisemesha polepole bila ya wewe kujua mpaka hapo baadae.

Kama umeamua kulea mtoto siyo vibaya hata kidogo maana pia watoto wengine baba wa kumlea huwa wanamthamini sana kuliko hata baba ambae amemzaa (biological) lakini hakushiriki kwenye malezi yake.
Kama wale kila siku wanalalamika watoto wao hawawajali maranyingi kama si mara zote niwale wazazi waliokimbia majukumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom