Nikioa mwanamke mwenye mtoto nitamlea mtoto wake kwa sababu zifuatazo tu!

Nikioa mwanamke mwenye mtoto nitamlea mtoto wake kwa sababu zifuatazo tu!

Kwenye kikao tulikubaliana sababu ya KUOA single mama na kulea mwanae ni moja pekee; "BABA MTOTO KAFA NA KABURI ULIONE". Hayo mengine mkuu yana muda tu yanalipua nyumba.
 
Kwenye kikao tulikubaliana sababu ya KUOA single mama na kulea mwanae ni moja pekee; "BABA MTOTO KAFA NA KABURI ULIONE". Hayo mengine mkuu yana muda tu yanalipua nyumba.
Kwani singo Maza wamewakosea Nini wajameni[emoji23][emoji23]kila Kona mnawataja
 
Hata sisi tulioolewa na masingle father huwa tunateseka sana na mama za watoto ni kila siku kupiga simu kuulizia huyo mtoto anaendeleaje, akiumwa anataka aje amchukue ampeleke hospitali, mara akichapwa shule anataka yeye aende, kila wiki end anataka aje hapo nyumbn kumuona huyo mtoto. Bado kwenye simu ufume msg zao za mahaba, ili mradi mateso tu. Hivyo ukitaka kuolewa na m'ume mwenye mtoto hakikisha mama wa huyo mtoto alishakufa na kaburi lake maua yalishanyauka kabisa

Wanawake wengi kwenye ndoa ni wategemezi.

Huwezi kuwa na jeuri ya kukataa ndoa na single father huku wewe ni tegemezi.

Pia wanaume waoaji wapo wachache kuliko wanawake wanaotaka kuolewa. Kwa hiyo ukikataa wewe mwingine anachukua nafasi fasta
 
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
 
Wanawake wengi kwenye ndoa ni wategemezi.

Huwezi kuwa na jeuri ya kukataa ndoa na single father huku wewe ni tegemezi.

Pia wanaume waoaji wapo wachache kuliko wanawake wanaotaka kuolewa. Kwa hiyo ukikataa wewe mwingine anachukua nafasi fasta
Sio wote lakini
 
Kwa mwanaume kijana mwenye vision na focus ya kutajirika maishani, hutakiwi kbs kuwa na girlfriend.

Kama huwezi kuzua lust (nyege), basi kuwa na girl mmoja tu, tena kusex ni mara 1-2 kwa mwaka.

Jifunze sperm retention, epuka unnecessary liabilities. Build your empire!
Uko sahihi kabisa kiongozi
 
1. Baba yake Kafa

2. Alimtelekeza tokea akiwa Tumboni

3. Baba yake akitaka Kumuua

4. Baba yake kasema haikuwa Mimba yake

5. Ndugu za Baba yake wamemkataa

Ila nje ya sababu hizi au kama huyo Mwanamke nitakayemuoa hatonipa hizi sababu Tano ( 5 ) tajwa hapa juu basi atafute kwa kumpeleka huyo Mtoto ( Mwanae ) kwani sitomlea na sitolilea Bao / Goli la Mwanaume Mwenzangu na ikitokea nikamlea bila hiyana basi jua Kiuhakika Roho Mtakatifu ameniingia na amenijaa vilivyo GENTAMYCINE.

Mwenyezi Mungu atusaidie tu.
Duu
 
1. Baba yake Kafa

2. Alimtelekeza tokea akiwa Tumboni

3. Baba yake akitaka Kumuua

4. Baba yake kasema haikuwa Mimba yake

5. Ndugu za Baba yake wamemkataa

Ila nje ya sababu hizi au kama huyo Mwanamke nitakayemuoa hatonipa hizi sababu Tano ( 5 ) tajwa hapa juu basi atafute kwa kumpeleka huyo Mtoto ( Mwanae ) kwani sitomlea na sitolilea Bao / Goli la Mwanaume Mwenzangu na ikitokea nikamlea bila hiyana basi jua Kiuhakika Roho Mtakatifu ameniingia na amenijaa vilivyo GENTAMYCINE.

Mwenyezi Mungu atusaidie tu.
Subiri kwanza unaposema kulea unamaanisha kumlipia ada, kuhakikisha gharama zote za maisha yake unasimamia?? Hapo ni kweli huwezi wala hulazimiki kutimiza hayo, hasa kama baba yake yupo tena hasa akiwa na uwezo wa kuhudumia hayo yote.
 
Back
Top Bottom