NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 595
Haki ya Mungu LIKUD na GENTAMICIN wakikutana hadharani lazima wapigane.Siku zote najuaga mtoa mada ni ke
Mkuu nimecheka mpaka basi. JF raha.Kuna watu wanataka hadi kuoneshwa kaburi la baba wa mtoto
Mwenyezi Mungu akusamehe mno tu.Siku zote najuaga mtoa mada ni ke
Umejuaje? Ndiyo nimewachokoza Makusudi hapa Mkuu.Siti ya 11 hapa. Nikisubiri povu kutoka kwa masingo maza.
Sina Hadhi ya Kupigana na Mwendawazimu.Haki ya Mungu LIKUD na GENTAMICIN wakikutana hadharani lazima wapigane.
Itakuwa vita vya tatu vya Dunia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
😂😂Siti ya 11 hapa. Nikisubiri povu kutoka kwa masingo maza.
Kwa wanawake ni ngumu nyinyi mnacho angalia ni Pesa na maisha mazuri hamtaki kujua watoto wa mwanaume, yani kwa mfano wewe hapo mtoto wa Mengi atake kukuoa atakama ana watoto kumi nje huwezi kumkataa kwa kigezo cha watoto, labda utamkataa kwa vigezo vingine.Hata sisi tulioolewa na masingle father huwa tunateseka sana na mama za watoto ni kila siku kupiga simu kuulizia huyo mtoto anaendeleaje, akiumwa anataka aje amchukue ampeleke hospitali, mara akichapwa shule anataka yeye aende, kila wiki end anataka aje hapo nyumbn kumuona huyo mtoto. Bado kwenye simu ufume msg zao za mahaba, ili mradi mateso tu. Hivyo ukitaka kuolewa na m'ume mwenye mtoto hakikisha mama wa huyo mtoto alishakufa na kaburi lake maua yalishanyauka kabisa
Duh... Hupendi watoto... Pole sana Mkuu, kuna kitu kikubwa sana unakikosa.Kuoa mwanamke mwenye mtoto inatakiwa uwe JASUSI high voltage kwa sababu unaishi na mtu ambae anapima upendo wako through care ya mtoto wake
By nature mtu kama mimi sipendi watoto nadhani ninaweza kuoa single mother kama To yeye thubutu
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata sisi tulioolewa na masingle father huwa tunateseka sana na mama za watoto ni kila siku kupiga simu kuulizia huyo mtoto anaendeleaje, akiumwa anataka aje amchukue ampeleke hospitali, mara akichapwa shule anataka yeye aende, kila wiki end anataka aje hapo nyumbn kumuona huyo mtoto. Bado kwenye simu ufume msg zao za mahaba, ili mradi mateso tu. Hivyo ukitaka kuolewa na m'ume mwenye mtoto hakikisha mama wa huyo mtoto alishakufa na kaburi lake maua yalishanyauka kabisa
Obviously, you are right, woman 'll act like a third party in that relationship ili aone kama unampenda mwanae nae aigize kukupenda[emoji846]Kuoa mwanamke mwenye mtoto inatakiwa uwe JASUSI high voltage kwa sababu unaishi na mtu ambae anapima upendo wako through care ya mtoto wake
By nature mtu kama mimi sipendi watoto nadhani ninaweza kuoa single mother kama To yeye thubutu
Asante Ms Powers!Hata sisi tulioolewa na masingle father huwa tunateseka sana na mama za watoto ni kila siku kupiga simu kuulizia huyo mtoto anaendeleaje, akiumwa anataka aje amchukue ampeleke hospitali, mara akichapwa shule anataka yeye aende, kila wiki end anataka aje hapo nyumbn kumuona huyo mtoto. Bado kwenye simu ufume msg zao za mahaba, ili mradi mateso tu. Hivyo ukitaka kuolewa na m'ume mwenye mtoto hakikisha mama wa huyo mtoto alishakufa na kaburi lake maua yalishanyauka kabisa
Halafu Kwa nini single fathers na single mothers wanakwepana sana😂Hata sisi tulioolewa na masingle father huwa tunateseka sana na mama za watoto ni kila siku kupiga simu kuulizia huyo mtoto anaendeleaje, akiumwa anataka aje amchukue ampeleke hospitali, mara akichapwa shule anataka yeye aende, kila wiki end anataka aje hapo nyumbn kumuona huyo mtoto. Bado kwenye simu ufume msg zao za mahaba, ili mradi mateso tu. Hivyo ukitaka kuolewa na m'ume mwenye mtoto hakikisha mama wa huyo mtoto alishakufa na kaburi lake maua yalishanyauka kabisa
Umejuaje kama ni mwanaume ??Siku zote najuaga mtoa mada ni ke
Ametisha kwa kutoa kauli ya kishoga ?sitolilea Bao / Goli la Mwanaume Mwenzangu...
Umetisha sana [emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app