Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Punguza ujinga mbuz wwMagufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ujinga mbuz wwMagufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote
Ni mjinga sana mtoa madaMleta maada, tumia akili vizuri, why Magufuri tu, Magufuri angeweza kujenga kila sehemu kwa wakati mmoja ? why usimlaum Mkapa, Kikwete n.k,
Shame on You [emoji23]
Bilion 540 za kujenga matank ya maji Arusha yangetosha kujenga vituo vya afya 108 na chenji ikabaki, sijui kwanini magufuli alipeleka pesa zote hizo kwa watu, waliozoea kuwa na meno yao ya dhahabu.
Wewe ni punga....hicho kiswahili chako .." hiko" marinda sidhani kama yako salama!Una uhakika kweli hizo hela zimeenda? Mpaka leo maji siyo ya uhakika kulinganisha na kiasi hiko unachosema.
Hoja nzuriNakumbuka hii ilikuwa moja ya Irani ya CHADEMA ya majimbo katika uchaguzi mkuu wa 2015. Kwamba majimbo yajitegemee katika swala la maendeleo then kuwe na a certain % as contribution kutoka kila Jimbo kwenda serikali kuu kwaajili ya maendeleo ya jumla. Kwenye mijadala wapo walioikubali na wapo waliopinga kwamba italeta utofauti wa kimaendeleo kati ya majimbo kwamba Kuna majimbo yamebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi na mengine hakuna kabisa.
Binafsi hii Sera naona kama ingekuwa chachu ya kupiga hatua haraka katika swala zima la maendeleo Jimbo husika na lile ambalo kitakuwa likilag behind linapigwa tafu na mfuko mkuu wa serikali.
Kweli! Kwa nini hakuwajengea vyoo watu wa kasikazini? Alikuwa shetani haswa!Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.
Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.
Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Aina ya Vipaombele vyake sio sawa.Mleta maada, tumia akili vizuri, why Magufuri tu, Magufuri angeweza kujenga kila sehemu kwa wakati mmoja ? why usimlaum Mkapa, Kikwete n.k,
Shame on You [emoji23]
Nilipoanza kusoma upuuzi wako nikawa nashangaa mbona hujataja Daraja la Aghakan-Coco Beach au penyewe kujengwa juu ya maji ni sahihi ila nongwa ni Daraja la Busisi tu, ulipotaja kuwa wewe ni wa Kaskazini nikakudharau na kukupuuza maana ubaguzi ni jadi yenu.Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.
Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.
Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Kipindi cha Magufuli Jiji la Arusha lilipewa mirani mingi sana ya maji kuliko Mkoa wowote Tanzania lkn hayo hawayaoni ni ubaguzi umewajaaBilion 540 za kujenga matank ya maji Arusha yangetosha kujenga vituo vya afya 108 na chenji ikabaki, sijui kwanini magufuli alipeleka pesa zote hizo kwa watu, waliozoea kuwa na meno yao ya dhahabu.
Acheni kupandisha mada zake sasa mbona Kambarage au Mzee wa Lupaso hampandishi thread zao na wamelifanyia makubwa taifa hili. Huenda kulikuwa na nia ovu mnaipanga nyie.Tushasema kamwamshe umsemee mpk utosheke umlaze tena mahali pake we msengerema sio kila siku kutuletea mada mtu kajipumzikia kwa amani kabisa.
Sahihi kabisa! Tatizo nchi hii hatuna vipau mbele vya Taifa bali kila kinachotekelezwa ni matakwa ya mtawala! Ni hatari sana vipau mbele vya Taifa kuwa matakwa ya Rais badala ya kuwa ndani ya sera za nchi zilizojadiliwa na kuidhinishwa na wananchi.Magari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.
Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.
Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Kwani yule ni mtu ni shetani?Tushasema kamwamshe umsemee mpk utosheke umlaze tena mahali pake we msengerema sio kila siku kutuletea mada mtu kajipumzikia kwa amani kabisa.
Amina!Huyu pimbi lazima anaungua na moto tu. Ila huku watu aliowa BRAINWASH bado wanamuabudu. Rot in Hell Magufuli
Umeua sana watu wasio na hatia na kunyang'anya mali zao. Moto wa milele uendelee kukuunguza
mamako ndiyo alifirwa jana usiku hujasikia bado.? Na hujasikia condom ilisuka wakati babako anamtomba mamako na kwa bahati mbaya ukazaliwa wewe. We ni binadamu wa bahati mbaya. Poyoyo ngedere wewe.Baada ya kumaliza kufirwa akili yako huwa inahamia matakoni mbwa wewe
Huna akili hivi huoni juhudi kubwa zinazofanywa kujenga miundombinu?hata hiyo barabara unayoisema ingejengwa angetokea mwingine pia kulalamikaMagari ya abiria na mizigo yamekwama kwenye barabara ya kutoka Handeni-Kilindi-Kiteto-Kongwa na wengine kiketo -kondoa. Ndani ya nchi moja wengine wanajengewa barabara kupita juu ya maji (ziwa Victoria) Km 3.2 kwa gharama ya Ths. 700 Bilioni wakati kuna njia mbadala kuna vivuko. Uwanja wa ndege usio na faida, hospitali eti ya kitalii ya rufaa wakati watanzania wengine wanalala maporini wiki nzima.
Magufuli alaaniwe na vizazi vyake vyote kwa ubaguzi huu wa kuibagua nchi ile ile moja hasa kanda ya kaskazini. Alikuwa mbinafsi na mbaguzi sana. Inauma watanzania wengine wanapiga picha juu ya maji barabara nne wengine bidhaa zao zinaoza maporini, hawana chakula, hakuna pa kulala, hakuna choo. Ni bora mgawe nchi kila upande utumie rasilimali zake kujiletea maendeleo yao. Mwendazake alikuwa shetani.
Najua watakuja washamba wenzake wenye roho km ya kwake, wabinafsi k,m yeye ila ukweli uko wazi. Rais mama yetu unahangaika na Ring Road ya Dodoma wakati watanzania wengine wanateseka vile ndani ya nchi ile ile hii siyo fair
Unamwambia nani? Kaililie serikali yenu.Una uhakika kweli hizo hela zimeenda? Mpaka leo maji siyo ya uhakika kulinganisha na kiasi hiko unachosema.