Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Kesho nikupeleke montana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi futuhii sasa. Emu nikuacheee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho nikupeleke montana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi futuhii sasa. Emu nikuacheee
Zaria nasikia ni bilionea Ana mabiashara gani?Nawee kadangee, mwili si unao? Unakwamaa wapii? Au huna sokoo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mwenyewee unapelekwaa, ndo unipelekee mie?? LolKesho nikupeleke montana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] u billionea wake, tumuachie mwenyeweee.Zaria nasikia ni bilionea Ana mabiashara gani?
Vp nasikia Ana miliki viwanda
Ova
Ahahhahaah boss wangu hana iyana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mwenyewee unapelekwaa, ndo unipelekee mie?? Lol
NikununulieWe endelea kuvuta shisha Kitambaa cheupe pumbavu
Hellow africa
Sikutegemea Zari kwenda element kuspend sio hazi yake yeye alitakiwa kwenda maeneo kama wavuvi kempu, karambezi, sea crif, cape town huko ndiko anaweza tumia pesa pale anagawa tu
Anazalisha wafanyakaz wa ndani yaani mahouse girlZaria nasikia ni bilionea Ana mabiashara gani?
Vp nasikia Ana miliki viwanda
Ova
la mshamba tuIt down to choice ya mtu. Ww unamchagulia kule wkt yeye anakwingine
I
la mshamba tu
Kashakunja kitita kuja kumchafua boss lady [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katumwaaaa na fantanaa huyuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa bhna hahahaMleta mada umeandika kama vile wote tunamjua huyo Zari,
Ndio nani huyo huko Daslam?
Wengine tupo huku Sweken ujue.
Kwa kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahhahaah boss wangu hana iyana
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kashakunja kitita kuja kumchafua boss lady [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda hela ya kulipia Mange Kimambi app si unatujua wabongo tena?Hii Nchi imejaa watu wajinga ikiwemo mtoa Mada
Mfano akispend sea crif wewe utapata Nini katika Maisha yako?