Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Nikisema mastaa wenu hawana hela hasa bongo sasa Zari wakwenda kuspend element kwa jina alilonalo?

Zaria nasikia ni bilionea Ana mabiashara gani?
Vp nasikia Ana miliki viwanda

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] u billionea wake, tumuachie mwenyeweee.
 
Jamani mtu kaalikwa kuhost show amewekewa dau mezani akatae kwa kuhofia haters [emoji15][emoji1552]
 
Hapo kwenye “hazi” ulitaka kumaanisha “hadhi” au?
 
Back
Top Bottom