Nikiwa mdogo niliwahi kucheza draft na Jakaya Kikwete pale Magomeni bila kujua kuwa ni Waziri wa Fedha:Viongozi kuweni wanyenyekevu

Nikiwa mdogo niliwahi kucheza draft na Jakaya Kikwete pale Magomeni bila kujua kuwa ni Waziri wa Fedha:Viongozi kuweni wanyenyekevu

Mpaka Dezemba tutasoma mengi kwako,
Unaonaje tuandike kitabu kabisa chapters mtiririko utaanza na mtoto wa Obote, Queens gate, manzi ikiyokunywa whine and etc
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
Waislamu mnapenda Sana kuwasifia Viongozi wa kiislamu hili ni Taifa moja jamani hebu acheni hizo CC Azarel
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
☕️🍵🍵🍵🍵🍵☕️☕️🫖🫖🫖☕️☕️☕️☕️
 
Hiyo ni hobby ya wstoto wa mjini hawajivungi..We unashangaa kucheza draft akiwa waziri wa fedha wakati hii hobby aliendelea nayo hadi kwenye uraisi,,kuna mwaka fulani nafika kijijini kwetu Kibindu mkoani Pwani nakuta story nyumban kwamba Jana yake Kikwete alikuwa hapa na wamekula nae Ugali..

mimi binafsi nakumbuka mwaka juzi tulishiriki nae A to Z kwenye msiba wa jamaa yetu Bantu pale Morogoro shughuli zote kashiriki ikiwemo kula ubwabwa na kurusha michanga kaburini

..sio kwamba ni janja-janja ya kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili awaibie?

..mbona kwenye maskendo ya upigaji kama escrow hakuwajumuisha?
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
Wewe hilo la kucheza bao? Mimi nliwahi share na kiongozi xxxx demu. Hayo mambo ya kawaida madogo tu hayana tija. Kwa wanasiasa ni kawaida. Jamaa yangu mmoja aliwahi tumia choo kimoja na mtu ambaye alikuwa waziri mkubwa tu....na mwingine aliwahi kuomba sigara awashie yake
 
CHAIIIIIIIIII HAINA HATA SUKARI.
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa
 
Sikumbuki mwaka ila nakumbuka nilikuwa mdogo ,tulitoka na mzee wangu mitaa ya kariakoo tukaelekea mitaa ya Magomeni Mapipa mtaa sikumbuki ila ni karibu na Shibam.

Kufika pale kulikuwa na vijana watoto wamjini hakuna aliyezidi miaka 50,walikuwawakicheza draft,bao,zumna na kunywa kahawa

Vijana wa makamo wawili walikuwa wakicheza draft mmoja akamfunga mwenzake,akamtania kuwa hajui kitu bora acheze na mimi,hapo nikaachiwa nicheze na yule mwingine,yule mwenzake akaenda kusikiliza ushabuki wa mpira,walikuwa wamemzunguka mtu mmoja mnene mfupi ba sauti ya kukwaruza.

Miaka michache baadae nikagundua kumbe yule mtu niliyecheza nae draft ni Mh Waziri wa fedha Jakaya Mrisho Kikwete.

Na yule mtu mfupi mwenye sautiya kukwaruza alikuwa Jamhuri Kihwelu Tantalila,mchezaji wa zamani wa Simba.

Nilikuja tena kuonana na Mh Kikwete akiwa kwenye foleni ya ATM,CRDB Bank Holland House,Ohio Street,kipindi hicho akiwa waziri wa mambo ya nje miaka zaidi ya kumi tangu tukio la Magomeni.

Baada ya hapo niliishia kimuona kwenye luninga na magazetini

Kama mtakumbuka kipindi akiwa Rais alikuwa akitokea mara kadhaa kwenye media akishiriki mazishi ya watu ambao hata hawajulikani nchini,watu hao ni marafiki zake wa hali ya chini kabisa wakiwemo wa magomeni na Saigon Club na Hugo House Kinondoni alikokuwa akienda kunywa Supu

Kuna Mheshimiwa mmoja ajifanya kuigiza kuwa ni mtu wa matabaka yote ila technolojia ikamuumbua,muuza kahawa ni afisa wa TISS,mwingine akamuuzia muhindi wa kuchoma na bastola kiunoni kumbe ni maigizo tu .uungwana hauji kwa maigizo bali huzaliwa nao.

Kwa viongozi wa sasa sidhani kama kuna wazori wa fedha anayeweza kukaa kijiweni jioni,au waziri wa mambo ya nje anayeweza kukaa kwenye foleni ya ATM

Viongozi mmekuwa miungu watu mpaka mnatwambia tukimbilie Burundi.

Jifunzeni kujishusha kama Mh.Jakaya Kikwete nanyi mtakwezwa

Sikupingi Mh Kikwete ni raisi wa aina yake. Anajua kuishi na yoyote. Namfahamu sana.
 
..sio kwamba ni janja-janja ya kuwaandaa wananchi kisaikolojia ili awaibie?

..mbona kwenye maskendo ya upigaji kama escrow hakuwajumuisha?
Hii nchi hakuna awamu ambayo haijaibiwa nadhani unalitambua hilo,yule ambaye alituzuga na kutafuna mahindi ndio aliyesimamia zoezi zima la kutorosha matrillioni ya watu China..kiufupi uwe unazuga wananchi kwa kutafuta public stunts usiwe unawazuga kama ni mwizi mwizi tu!!
 
Back
Top Bottom