Nayanga Bojo
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 144
- 468
Mkuu upo?We mpumbav mi naongea nlichoweka sio wewe msikia story niambie wewe bank gan inatoa riba zaid ya 6% ? Mimi nitume fixed documents umu na wewe utume unaongea lugha za kifala wakat Huna experience mzee
Hata mimi namsubiria jamaa tuone mpambano wa matajiri πππNimetuma tayari....tuma na za kwako tuone wewe mwerevu.
Hakuna biashara nzuri kama ya kwenye makaratasi,yaani kila kitu kinaserereka kiulani,ingia field sasa ndio utakiona cha moto...10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
CRDB wana mzigo flex 9%, TCB 11%Haya mabenki makubwa ukifika ofisini kwao na mzigo mkubwa mnakubaliana riba na wote mnafaidika.
Nilienda NMB wakakubali kunipa 6% ,NBC wakakubali kunipa kwa 7.5%.
Dahh, mkuu umeniokoa kimazo... Asante sana mkuu10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Mzee wa punyeto
Biashara kichaa!Nenda utt weka kwenye mfuko wa liquidy fund unaweza pata kuanzia 70000 mpaka laki na usheee kwa mwezi na hela unaweza kutoa wakati wowote unaotaka ndani ya siku tatu hela inakuwa kwenye akaunti yako, achana na fixed deposity za benk mkui
Unafungua10M bodaboda 4 hapo.
Bodaboda 1 kwa siku 10,000. X 4= 40,000 kwa siku.
40,000 x 30 = 1,2000,000 kwa mwezi.
Hio 1,2000,000 unaweka vijana wa kuuza chipsi kuku kwa siku wakupe 20,000. Kwahio 20,000x30= 600,000.
Bodaboda 1,2000,000 + chipsi kuku 600,000 = 1,8000,000 kwa mwezi.
Unafungua mkahawa
Unafungua wakala wa vinywaji
Unafungua wakala wa mpesa
Unafungua
Unafungua
Unafungua
Usiweke hela bank wakupe faida ndogo tumia akili yako ndogo uweke hela kubwa. Usifanye kazi kwa kupata hela, Bali tumia hela ilete hela.
Pombe hizi kama smart gin au double kick au pub mzeeWekeza kwenye pombe sema nikupe location hulipi TRA wala kwa wajukuu wake yani ni ww na Polisi kwishney
Bar tena kubwa kwa 10 million unafungua mtaji wa pombe za kumwaga hauzidi 1 million zingine ni za matengenezo ya jengo n.kPombe hizi kama smart gin au double kick au pub mzee
Mkuu upo?
Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake [emoji116][emoji116][emoji116].
View attachment 2660490
Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.
Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu upo?
Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake [emoji116][emoji116][emoji116].
View attachment 2660490
Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.
Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu upo?
Jamaa kaweka kweli fixed documents. 50,000,000 cash muamala wake [emoji116][emoji116][emoji116].
View attachment 2660490
Tunakusubiri na wewe uweke ili mpambano unoge.
Kwa mkwara na matusi uliyokuja nayo natumaini hutaikimbia hii mechi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu kama hutojali nambie zaidi kuhusu hizi braYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
Haya mabenki makubwa ukifika ofisini kwao na mzigo mkubwa mnakubaliana riba na wote mnafaidika.
Nilienda NMB wakakubali kunipa 6% ,NBC wakakubali kunipa kwa 7.5%.
CRDB wana mzigo flex 9%, TCB 11%
Nilichokuja kugundua wale jamaa wa mabenki wako flexible sana inapokuja issue ya pesa hasa inategemeana wako desperate kiasi gani kulingana na mahitaji ya pesa wakati huo. Ilifikia kipindi wakawa wananipigia simu nikiwa home ili nisighairi kuweka kwao toka NMB.Nbc ulikwenda na kiasi gan mzee? Mana mi walinambia 4%
Mtu mwenyewe hekima hatoi matusi kinywani mwake bali asiye na utashi komavu. Haya soma hapa chini kisha urudi tenaView attachment 2660022