billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Mwambie huyo,biashara Siyo kama mnavyo dhani,mziki unaanza boda boda inaibiwa au anakimbia nayo....Hakuna biashara mzuri na inalipa kama ya kwenye makaratasi ha ha ha
Yan hapo ni very smooth, sasa nenda kafanye uone balaa lake
Mkuu habariYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
We nawe tumia mpososo wako vizuri, we hiuo biashara ya vyupi hadi ushinde hapo, utt unaweka mzigo unasepa mwisho wa mwezi unakinga debe lako, mara waaa 70KYani uweke 10 million UTT unipe elfu 70 kwa mwezi? Hadi nimetukana hapa
Biashara ya bra na vyupi inaingiza hiyo pesa ndani ya wiki kwa mtaji wa laki mbili tu *****
Nina biashara ya vinywaji na generate pesa mingi sana na hata sikuanza na laki sita huu mwaka wa pili think think think
na siku zote maneno kama haya ndio chanzo cha umasikini jiamini chukua hatuaHakuna biashara mzuri na inalipa kama ya kwenye makaratasi ha ha ha
Yan hapo ni very smooth, sasa nenda kafanye uone balaa lake
mkuu jifunze kwenye mambo yako yote usitangulize fikra za kufeli mbele, jiamini omba mungu, waswahili wanasema awazalo mjinga..... UtamaliziaMwambie huyo,biashara Siyo kama mnavyo dhani,mziki unaanza boda boda inaibiwa au anakimbia nayo....
Mimi nafanya biashara za usafirishaji ,najua changamoto zake.Umepiga hesabu kama vile:- hakuna service,dereva haumwi,mabao ya trafki,Kula mzinga(Ajali) n.kmkuu jifunze kwenye mambo yako yote usitangulize fikra za kufeli mbele, jiamini omba mungu, waswahili wanasema awazalo mjinga..... Utamalizia
hatujakataa hilo mkuu ila ninachokataa mimi binafsi ni kutanguliza mikosi kwenye biashara kwasabab ndio mwanzo wa kukata tamaaMimi nafanya biashara za usafirishaji ,najua changamoto zake.Umepiga hesabu kama vile:- hakuna service,dereva haumwi,mabao ya trafki,Kula mzinga(Ajali) n.k
Biashara zote Zina changamoto zake,Siyo kama mnavyo dhani au Kupiga hesabu kwenye karatasi.
Hakuna anayependa yamkute ,ila yapo na yanatokea.Kama Ningekuwa mwoga basi nisingekuwa na biashara ya usafirishaji.Matarajio.yasiwe makubwa kupitiliza...Maisha ni kujaribu na kuwa hodari na shujaa mwingi.hatujakataa hilo mkuu ila ninachokataa mimi binafsi ni kutanguliza mikosi kwenye biashara kwasabab ndio mwanzo wa kukata tamaa
Kama mwanaume,utakiwi kuwa mwoga wakujaribu na hata ukianguka unabidi urudi tena kwenye mapambano.Mimi nachoongea matarajio yawe Kwa kiasi .. mtu anajua kuwa biashara ya bajaji itamletea 20000 Kila siku, lakini Kuna siku haifikii hiyo hesabu au Kuna service za kufanya n.kChangamoto kila sekta zipo hazikwepeki, ila ukija ukaanza kunitajia majanga na mabalaa ya huko barabarani unamaanisha nin? Si nisifanye au? Kwan wewe na wengne munaofanya hamuogopi hzo fain, kuibiwa? Chombo kupata ajali? Mbona hamuachi? Basi nae aje tu na atumie hzo changamoto kujifunza.
Unanijibu mimi tena?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ni miaka miwili umekurupuka mzeee mi nlishakwenda apo kipind inaitwa TIB mzee riba yao ikawa 5.5% per annum [emoji28][emoji28]
Acha kukurupuka mzee
Una nijibu mimi tena?
Kamjibu mliyekuwa mnatunishiana naye misuli huko...
Mi nachochea moto tu ili zipigwe [emoji16][emoji16][emoji16]
Au jamaa amekuogopesha na muamala wa 50 million?
...na wamesema hapo kwenye risti yake kwamba rate ni 11% paid monthly na period ni 24 months (2yrs). Anyway haya ni mambo yenu matajiri mtajuana huko ila kwa mikwara uliyoingia nayo nilifikiri utamnyorosha na vimilioni vyake 50 mapema tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Bodaboda no kupoteza muda tuuMkuu biashara ya boda boda anae pata faida ni dereva. Twende taratibu utanielewa. Tufanye umenunua piki piki hadi inaingia barabarani umetumia 2.5m ,hesabu kwa siku elfu 10 kwa mwezi laki tatu kwa mwaka hadi mkataba unaisha utakua umeingiza 3.6m .sasa toa gharama uliyo nunulia hiyo piki piki una baki na 1.1m , Gawanya hiyo pesa kwa miez 12 uone kwa mwezi unapata kiasi gani na ukipata kwa mwezi gawa kwa siku 30 uone kwa siku moja unapata kiasi gani. Hapo utajua wewe uliye wekeza 2.5m na dada anae saidia mama ntilie na kulipwa buku 3 mpo sawa
Tupe somo mkuu. Beginers tufatilia huu uzi kwa makini sana.Nyie ndio ambao hufungua biashara na kuweka vibahasha vya kiganga au stika za manabii.
Kanuni za biashara brother ni rahisi sana wala sio za business school.
Amini nilikuwa kama wewe huu mwaka wa nne toka nijiingize kwenye mabiashara tofauti tofauti hadi natamani kuacha kazi
Interest haipigwi kwa muda wa mkataba uigawe bali kwa mwaka, hiyo message ya jamaa inaonesha interest kwa mwaka na 24 months ni muda wa mkataba mpk utakapoisha.Sasa apo huelewi nn si wamekwambia 24months for 11% ama 24months for 22% mpaka useme per annum?
Mwamba kaleta risiti 50m kawapa watu kwa mwezi wanampa 412,500 hesabu nyepesi tu.Una nijibu mimi tena?
Kamjibu mliyekuwa mnatunishiana naye misuli huko...
Mi nachochea moto tu ili zipigwe [emoji16][emoji16][emoji16]
Au jamaa amekuogopesha na muamala wa 50 million?
...na wamesema hapo kwenye risti yake kwamba rate ni 11% paid monthly na period ni 24 months (2yrs). Anyway haya ni mambo yenu matajiri mtajuana huko ila kwa mikwara uliyoingia nayo nilifikiri utamnyorosha na vimilioni vyake 50 mapema tu [emoji16][emoji16][emoji16]
na siku zote maneno kama haya ndio chanzo cha umasikini jiamini chukua hatua
Tupe wengine hii tunaweza kufanyaBar tena kubwa kwa 10 million unafungua mtaji wa pombe za kumwaga hauzidi 1 million zingine ni za matengenezo ya jengo n.k
N.B sio mjini ndio maana nikasema aseme nimpe location apige hela kwa miaka miwili zikimtosha apite kushoto hatalipia hata senti 1 kwa serikali
Mwambie huyo,biashara Siyo kama mnavyo dhani,mziki unaanza boda boda inaibiwa au anakimbia nayo....
Mwamba kaleta risiti 50m kawapa watu kwa mwezi wanampa 412,500 hesabu nyepesi tu.