heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Mm nna miaka26 sasa na natak mwakan nioe tu Maana sina hata mtoto na nnajtahd npambane ingalau niwe na nafuu ya maisha ila wap! Hvo najirusha mzm mzm hvohvo kwenye kuoa nafanykaz had naanza kuumwa nkifka home nianze tena sjui kupka dah yn hpn nmechok.Tunapokosea ndiyo hapo
1.Huna kitu unaoa
2.Huna kitu unazaa
Hii dunia ukiiletea masihara lazima ikuumbue
Bongo ni shida sana. Kuna wengine walisema ohh ngoja nizae mapema ingawa sina kitu mwisho wa siku wanalea hadi wajukuu maana wamatelekezewa watoto na watoto wao ambao walishindw1 kuwale vizuriAkikuita bibi na unauwezo wa kumpa furaha ya maisha shida nini?
Kama nilijua tu utaleta pigo zako za kiwakiππTunapokosea ndiyo hapo
1.Huna kitu unaoa
2.Huna kitu unazaa
Hii dunia ukiiletea masihara lazima ikuumbue
ππππ kumbe!?Kama nilijua tu utaleta pigo zako za kiwakiππ
πππmulemule.Bongo ni shida sana. Kuna wengine walisema ohh ngoja nizae mapema ingawa sina kitu mwisho wa siku wanalea hadi wajukuu maana wamatelekezewa watoto na watoto wao ambao walishindw1 kuwale vizuri
Kumbe waolea kupikiwa?ππMm nna miaka26 sasa na natak mwakan nioe tu Maana sina hata mtoto na nnajtahd npambane ingalau niwe na nafuu ya maisha ila wap! Hvo najirusha mzm mzm hvohvo kwenye kuoa nafanykaz had naanza kuumwa nkifka home nianze tena sjui kupka dah yn hpn nmechok.
Mtoto si nguo utaomba mtu, mtoto sio kanzu utaazimisha mtunipe mtoto wa kwanza huyo nikusaidie kulea.
Niko Mwanza
Hili jina lako lilivyo upewe mtoto ulee kweli?nipe mtoto wa kwanza huyo nikusaidie kulea.
Niko Mwanza
Hela nikose na utulivu wa nafsi nikose acha basi Mungu hakupi vyote π hela huna na kula naniliu uogopeππππ kumbe!?
ππππHela nikose na utulivu wa nafsi nikose acha basi Mungu hakupi vyote π hela huna na kula naniliu uogope
Maisha sio majaribio lakini lazima yaendeleeeBas kusiwepo na kupiga yowe mkuu,maisha siyo majaribio....utaishia kuwatesa mke na watoto
VizuriMaisha sio majaribio lakini lazima yaendeleee
Nini kitampata mkuu?Uwe unahama na mkeo la sivyo..