Humu kila mtu anajifanya hapigi magoti sababu hatuwajui. Kujifanya wagumu ukweli wanaujua wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadhi ya comments humu ukisoma unapata picha ya hulka halisi ya sisi negro kimtazamo dhidi ya mwanamke.
Haimaanishi kumpigia magoti mwanamke wewe ni boya.
Nisaidie wewe mkuu wanaume wa kiafrica bwana inferiority complex haijawaacha salamaBaadhi ya comments humu ukisoma unapata picha ya hulka halisi ya sisi negro kimtazamo dhidi ya mwanamke.
Haimaanishi kumpigia magoti mwanamke wewe ni boya.
Sasa kama yeye siku zote anakupigia magoti wewe unaona mzigo kupiga magoti siku moja tu hiyoUnampigiaje magoti mtu unayeenda kumlala?!...huko kwetu mwanamke hata akija kuleta maji ya kunawa anapiga yeye magoti haiwezekani mwanaume umpigie mwanamke goti hata kwa kitu gani hata baba mkwe wako atakuona boya akufukuze hapohapo
Sasa kama yeye siku zote anakupigia magoti wewe unaona mzigo kupiga magoti siku moja tu hiyo
Haya mkuuMila za kwetu hutakiwi kupiga magoti kwa mwanamke hata sekunde moja ya maisha yako unaweza kukosa hata huyo mke
Kitu kimoja nime-note humu JF watu wengi ni wafuata mkumbo. Akilianzisha mmoja basi utaona ngedere wengine wanafuata kwa nyuma.Humu kila mtu anajifanya hapigi magoti sababu hatuwajui. Kujifanya wagumu ukweli wanaujua wenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa siku moja tu tena mbele ya kamera ni aibu kwa morani.Sasa kama yeye siku zote anakupigia magoti wewe unaona mzigo kupiga magoti siku moja tu hiyo
Mimi huyu eti nimpigie magoti mwanamke, harafu na mahari nitoe, harafu ahamie kwangu, harafu nimlee kama mwanangu, harafuuu... Mimi huyu???Hili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Kabisa yaniKitu kimoja nime-note humu JF watu wengi ni wafuata mkumbo. Akilianzisha mmoja basi utaona ngedere wengine wanafuata kwa nyuma.
Mimi wangu alipiga magoti yeye!! Wasukuma hatuna utamaduni wa kmpigia magoti mwanamkeHili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Wewe ni kabila gani?Ni makubaliano tu hayo
Kabila ambalo mwanaume kupiga goti si dhambiWewe ni kabila gani?
Na hako kamwili kake kama kanabakwa
Haya kila la heri kwenye engagement yakoKabila ambalo mwanaume kupiga goti si dhambi