Sijui kwann nimesoma post yako usiku huu wa manane. Nimecheka sana hadi nikaenda kutengeneza chai ninywe usiku huuKabla ya ubwabwa huyo dada sio mwanafunzi wa shule msingi? Unshakia hata wale wa muskitini wanapelekewa ubwabwa tunasukuma ndani
Akajambe mbele, siku hizi huyu dogo kawa wa kujipendekeza kwa JPM kama Mwigulu, tatizo ni mtu wa kaskazini, atasubiri sanaNikki wa Pili (PhD)
Haya mambo ya kuwapigia goti......Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
πππMagoti ya nn ???
ni ufala sana.Hili swala la kupiga magoti huwa nalipinga sana
Hv hii ni skendo ya ukweli kabisa??Huu unaitwa uchumba sugu
Ila na kalamaganda kabugi amechangia huu uchumba kuwa sugu toka amle huyu demu pale witaz lodge sinza jamaa kaamua ambato tu na si kuoa
Maneno mazito sana aliandika.Rapa msomi kutoka kiwanda Cha bongo fleva Nikki wa Pili amemvisha Pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi , akitarajia kuaga rasmi kambi ya ukapela
View attachment 960833
Washaachana kitambo πππManeno mazito sana aliandika.
Tunasubiri ndoa sasa.
Ndoa ipi mkuu wakati ilikuja kuonekana hata mtoto sio wa huyo popoma Nicki wa Pili. Kiufupi kagongewa mke na kuzalishiwa juu huyo mpuuzi aliyejifanya anajua kupenda sana na kumpost mkewe kila saaManeno mazito sana aliandika.
Tunasubiri ndoa sasa.
Wanangu hapa myumbani wanaseema "zilipendwa"Washaachana kitambo πππ
Kwa kuwa mwanaume ndiye mwenye upendo wa kweli.Magoti ya nn ???
Alivyo mjinga akataka kushindana na "vunjabei" pale kwa "jo jo jooo-keti" , akapigwa chenga kama messi.Ndoa ipi mkuu wakati ilikuja kuonekana hata mtoto sio wa huyo popoma Nicki wa Pili. Kiufupi kagongewa mke na kuzalishiwa juu huyo mpuuzi aliyejifanya anajua kupenda sana na kumpost mkewe kila saa