BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Uganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.