WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Hakika kabisa.Wangekuwa Waganda wanajitambua wasingekubali kutawaliwa na familia moja ya Museveni kuanzia mwaka 1986 hadi leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika kabisa.Wangekuwa Waganda wanajitambua wasingekubali kutawaliwa na familia moja ya Museveni kuanzia mwaka 1986 hadi leo.
Iwe mwanzo na mwisho Kumfananisha Rais Yoweri Kaguta Museveni Tibuhaburwa na Wapumbavu wengine uwajuao.Uganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
View attachment 3152819
Unasema?
ELIMU ELIMU ELIMU
Nchi ya wajipendekezao kazi kusifu hovyo.
Saivi mavijana mengi yanataka pesa za kishetani basi nikumsifu tuu majinsi mtandaoni...
Very stupid!!!
Kwani Uganda nao ni wajinga?Uganda wamekuwa wa kwanza kwa EAC kufuzu Afcon Ila cha kunishangaza huku Uganda sioni Mseveni akitajwa polote pale. Na raia wako kimya kana kwamba hakuna kilicho tokea. Nikajisemea sasa ingekuwa kule kwetu, nahisi mida hii tusingelala kungekuwa kuna Jam kwenye TV na radio za kuabudu na kusifia, TShirt zenye picha ya Mama zingetengenezwa.
faster
TFA wangekuja na taarifa rasimi ya kusifu na kuabudu.
UVCCM wangeisha andaa maandamano maalumu ya kumpongeza Mama.
View attachment 3152819